Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

Nili nunua covex all star kipindi hichoo nilikuwa mgonjwa sana na hivi viatuu.

Sasa nilisafiri na kwendaa mbalii kidogo na TZ nimekaa siku moja nikapata pesa nikaona sio mbayaa nitembee.

Katika pita pita,nikaona covex ya green iko poa sana yanii ilikuwa nzuri balaa.

Wale jamaa nahisi wana dawa maana hata sikuuliza mara mbili. Akaniambia hii ni mtumba basi nikatoa pesa pale nikaweka kwenye begi nikaondoka.

Nikiwa na furaha nikafika ghetto siku na haraka nazoo.

Nikakaa siku 4 nikapata mzunguko tena wa town kama kawaida nika vaa zangu fresh tinga all star huyuu, na kwa kuwa stend iko karibu basi nikapanda garii huyoo.

Sasa majanga ni hapa nashuka kwenye garii tuu naona kisigino njee kuangalia vizurii kiatu kime chanika.

Na kila navyo zidi ndo vinaongezeka. Nikajikaza kisabuni hata safari sijafikaa nikajikutaa naburuza kama ndala.

Kuna mda nikatembea mguu ukatoka njee raba ikaka pembeni nikaona sasa hii ishuu ni kweli.

Ukiangalia kiatu utasema cha 1983 yani kina chanika hata ukigisa tu na kidole.

Nikajichanga mikanunua ndala maana nilikuwa siko poa kiivyoo nikarudi home safari ikaishia hapo. viatu nikaviachaa huko huko town.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee nilikuwa sinunui nguo ndogo. Kkoo pale aisee we acha tu. Sita sahau mana niliumia sana. Naweza sema wanauza nguo zilizooza. Yani inachanika sio inafumuka.
Aahahahaha mtoa mada umenikumbusha wakati niko mtoto, wazazi wetu wailkuwa na tabia kila weekend tunakutana kwenye nyumba moja wapo aidha ya mjomba au shangazi au baba mdogo na watoto tukikutana ni michezo kwa kwenda mbele wakubwa wanaongea yao na chakula kikiiva tunakula jioni kila mtu kwao. Ilisaidia sana kujenga ukaribu na undugu tulionao leo, sasa kwenye michezo watoto mara sarakasi mara bembea mara kutereza kwenye majani mara kuvutana kidali poo mara paap nguo ya mtu imechanika... mama yetu mkubwa mmoja alikuwa mkali utasikia....

Huo mwili wako una visu hadi uchane nguo... sasa ndo wewe nawaza unanunua nguo ndogo au mwili wako unachana nguo tuu wenyewe aahahahahaha (no offense aiseeh nimewaza kwa sauti jumlisha kumbukumbu ya wakati niko mdogo).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nili nunua covex all star kipindi hichoo nilikuwa mgonjwa sana na hivi viatuu.

Sasa nilisafiri na kwendaa mbalii kidogo na TZ nimekaa siku moja nikapata pesa nikaona sio mbayaa nitembee.

Katika pita pita,nikaona covex ya green iko poa sana yanii ilikuwa nzuri balaa.

Wale jamaa nahisi wana dawa maana hata sikuuliza mara mbili. Akaniambia hii ni mtumba basi nikatoa pesa pale nikaweka kwenye begi nikaondoka.

Nikiwa na furaha nikafika ghetto siku na haraka nazoo.

Nikakaa siku 4 nikapata mzunguko tena wa town kama kawaida nika vaa zangu fresh tinga all star huyuu, na kwa kuwa stend iko karibu basi nikapanda garii huyoo.

Sasa majanga ni hapa nashuka kwenye garii tuu naona kisigino njee kuangalia vizurii kiatu kime chanika.

Na kila navyo zidi ndo vinaongezeka. Nikajikaza kisabuni hata safari sijafikaa nikajikutaa naburuza kama ndala.

Kuna mda nikatembea mguu ukatoka njee raba ikaka pembeni nikaona sasa hii ishuu ni kweli.

Ukiangalia kiatu utasema cha 1983 yani kina chanika hata ukigisa tu na kidole.

Nikajichanga mikanunua ndala maana nilikuwa siko poa kiivyoo nikarudi home safari ikaishia hapo. viatu nikaviachaa huko huko town.


Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!
Ndugu yangu umetisha. Nimecheka mnoo.
Hayo majuto yako ni kiboko.
 
Mashine ya MAXMALIPO najuta mpaka kesho kutwa

Kadi ya MWENDOKASI hii ina salio la 47,000Tsh ambayo ipo tu

natamani kuitoa ila ndio hivyo siwezi yani hii hela naiangaliaga kwa machungu.

BUGGER niliagiza nile hiki kitu maana nimekua nikiskia tu kuwa ni kitamu sana

ila baada ya kutia mdomoni ile hela yangu iliniuma sana yani.


Kununua Wave ili niweke kichwani nywele zijinyongoroteshe niwe kama muhindi

nilipoweka Wave nywele zikalala kama paka mwenye ujauzito,asee nilivaa kofia mpk ile wave ikapotea

na lile kopo la wave nili litupilia mbali likiwa na wave yake vile vile.
Ulitaka kuwa muhindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha uwiii mbavu zangu mie
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Supu ya jero pale k/koo aisee nyama ilikua mbichi balaaa alafu nilipomwambia yule mama alinijia juu kinoma kisha akanambia huo uchawi peleka huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃 umekoma kula kula vitu vya uswazi...ukajifanya kutoa malalamiko ...ukidhani kuwa watakuelewa ...ulisahau kuwa uswazi ustaarabu ni 0
 
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂
 
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom