Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

sasa niliyoyachange ndio makali.
hio siku nmenunua nilikua na deal fulani likafail nikajikuta niko around kkoo sioni cha kununua nikanunua nikayaona mazuri nmefika nayo home ukichanganya na stress niliona hapakuchi nikayabadilishe.. uzuri nilichukua number ya muuzaji nikamuuliza kwanza akakubali niyarudishe.
ila nachukia jinz/suruali vile ukishanunua utafute na top.. naona bora jumpsuit
[emoji16] Ungechukua mawili maximum..
Matatu lazima uchemke..yatakuwa yalikuwa mazuri ukadata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
suruali za kumwaga elfu kumi kumi kkoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na vile vishati ukifua tuu vnakua vdgoo suruali i apaukaa daah
Nishawanunu kkoo nguo za kumwaga tsheti form six. Kila napo vaa inachanika . Tena pensi moja nikinunua 15000 pale kkoo dukani kuja kuivaa ilichanika yote ilikuwa imeoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kujutia kwa vitu ninavyovinunua coz hua nipo makini sana pamoja na kujiridhisha kabla ya kuchukua maamuzi,

Hua sinunui vitu kwa kuiga au kufuata msukumo/mkumbo wa mtu mwingine,nanunua kitu ambacho nafsi yangu imekipenda na kuridhika.
 
Huyo mtu angelipa pesa yangu..uwii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishawanunu kkoo nguo za kumwaga tsheti form six. Kila napo vaa inachanika . Tena pensi moja nikinunua 15000 pale kkoo dukani kuja kuivaa ilichanika yote ilikuwa imeoza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Aahahahaha mtoa mada umenikumbusha wakati niko mtoto, wazazi wetu wailkuwa na tabia kila weekend tunakutana kwenye nyumba moja wapo aidha ya mjomba au shangazi au baba mdogo na watoto tukikutana ni michezo kwa kwenda mbele wakubwa wanaongea yao na chakula kikiiva tunakula jioni kila mtu kwao. Ilisaidia sana kujenga ukaribu na undugu tulionao leo, sasa kwenye michezo watoto mara sarakasi mara bembea mara kutereza kwenye majani mara kuvutana kidali poo mara paap nguo ya mtu imechanika... mama yetu mkubwa mmoja alikuwa mkali utasikia....

Huo mwili wako una visu hadi uchane nguo... sasa ndo wewe nawaza unanunua nguo ndogo au mwili wako unachana nguo tuu wenyewe aahahahahaha (no offense aiseeh nimewaza kwa sauti jumlisha kumbukumbu ya wakati niko mdogo).
 
Mabaharia watakwambia mwanaume anatakiwa kunuka kama beberu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…