Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

Ni kitu gani ulichowahi kujuta kukinunua?

Nilinunua kondomu box zima kuna dame aliniahidi atakuja kutoka babati ......

Alivyofika!! Sikukumbuka kbs kwa jinsi alivyokuwa pisi kali

sent from toyota Allex
 
Mashine ya MAXMALIPO najuta mpaka kesho kutwa

Kadi ya MWENDOKASI hii ina salio la 47,000Tsh ambayo ipo tu

natamani kuitoa ila ndio hivyo siwezi yani hii hela naiangaliaga kwa machungu.

BUGGER niliagiza nile hiki kitu maana nimekua nikiskia tu kuwa ni kitamu sana

ila baada ya kutia mdomoni ile hela yangu iliniuma sana yani.


Kununua Wave ili niweke kichwani nywele zijinyongoroteshe niwe kama muhindi

nilipoweka Wave nywele zikalala kama paka mwenye ujauzito,asee nilivaa kofia mpk ile wave ikapotea

na lile kopo la wave nili litupilia mbali likiwa na wave yake vile vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

sent from toyota Allex
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipindi kingine miaka ya 2009 niko ndo naingia chuoo nina kama elfu 50 najiona bonge la tajiri na nilikuwa badoo sija anza visanga vya [emoji482][emoji482].

Jamaa zangu wakasema kuwa wanaenda kufanya shopping na mimi nikaungaa sasa kufika town sijuii waliwapigia mademu zaoo wakaja na waoo tukaenda dukani moja kwa moja yale maduka ya classic wearing.

Sasa mmoja wa yule manzi akasema mbona wewe hununuii au umesindikizaa dhaaa!!!!
(Kwa uzuri walikuwa nao na ile kuwa level sawa kama zao)
Nikajikuta na nunua suruali flan matata. Kwa 45 kiukwelii nilikuwa sipo tayariii ila nili nunua.


Kufika ghetto suruari fupiii .

Sita kaa nisahauu na mfukoni nilibakii na 3000 tu

Achaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nili nunua iphone kwa mara ya kwanza.

Ile iphone ilikuwa duplicated yani iko safi kama iphone yenyewe na huwezi juaa.

Nikajichangaa mixer mizingaa nika peleka laki mbili kwa jamaa akaniwekea kila kitu kufika home. [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] camera ndo ili nishtua naingia sehemu nyingine hapo ndo nikajua hii sioo.

Nikarudi kwa jamaa akasema amesha tumia pesa hawezi rudishaa.

Nilijutaa kama miezii 4 sina raha na baada ya siku 5 likazima mazimaa halija waka labda siku likijisikia.

Tokea hiyoo day ni dukani moja kwa moja,

Sent using Jamii Forums mobile app
Bure ghali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahivi sinunui nguo kabla sijajaribisha hapo hapo aata awe nani anauza navua nabaki na boxer kama ni suruali na test safi kabiiisa ila nimegundua nguo ukinunua nyingi sana kwa siku moja lazima upigwe mahali tuu .. kuna kamzuka kwnakuja kakifala unaweza uziwa haya brazia na wewe ni mwanaume ukakubali tuu [emoji1][emoji1]
 
Nilinunua hii
1580919575471.jpeg

Raphael Salgado virgin olive oil ili wife anifanyie massage, ila kufika home wife kagoma hadi leo siyatamani hata kuyaona!

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
niuzi
Mashine ya MAXMALIPO najuta mpaka kesho kutwa

Kadi ya MWENDOKASI hii ina salio la 47,000Tsh ambayo ipo tu

natamani kuitoa ila ndio hivyo siwezi yani hii hela naiangaliaga kwa machungu.

BUGGER niliagiza nile hiki kitu maana nimekua nikiskia tu kuwa ni kitamu sana

ila baada ya kutia mdomoni ile hela yangu iliniuma sana yani.


Kununua Wave ili niweke kichwani nywele zijinyongoroteshe niwe kama muhindi

nilipoweka Wave nywele zikalala kama paka mwenye ujauzito,asee nilivaa kofia mpk ile wave ikapotea

na lile kopo la wave nili litupilia mbali likiwa na wave yake vile vile.
Mbona me nna mpango wa kununua hiyo machine ya max malipo
 
Nilinunua hii
View attachment 1347616
Raphael Salgado virgin olive oil ili wife anifanyie massage, ila kufika home wife kagoma hadi leo siyatamani hata kuyaona!

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
Mkuu mbona kama KY [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akufanyie massage hata mimi ninge goma (jkng)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona kama KY [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akufanyie massage hata mimi ninge goma (jkng)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Olive oil hiyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
Nim
Mashine ya MAXMALIPO najuta mpaka kesho kutwa

Kadi ya MWENDOKASI hii ina salio la 47,000Tsh ambayo ipo tu

natamani kuitoa ila ndio hivyo siwezi yani hii hela naiangaliaga kwa machungu.

BUGGER niliagiza nile hiki kitu maana nimekua nikiskia tu kuwa ni kitamu sana

ila baada ya kutia mdomoni ile hela yangu iliniuma sana yani.


Kununua Wave ili niweke kichwani nywele zijinyongoroteshe niwe kama muhindi

nilipoweka Wave nywele zikalala kama paka mwenye ujauzito,asee nilivaa kofia mpk ile wave ikapotea

na lile kopo la wave nili litupilia mbali likiwa na wave yake vile vile.
Nimecheka mpka nimesusu kwa pant😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nilinunua vile vidude vya kuwekea mswaki kwa machinga barabarani...asee hakakukubali kukaa ukutani hadi nikaamua kukatupa. Fake fake fake!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom