Ni kitu gani ulijaribu kukifanya mara moja na ukagundua hutakaa ukirudie tena?

Ni kitu gani ulijaribu kukifanya mara moja na ukagundua hutakaa ukirudie tena?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Aisee miye kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote

Mara ya kwanza tu kujaribu kuzila ndio ikawa funga kazi, nimeshindwa kuzirudia hata kama nikiona wengine wanakula miye mzuka nazo sina kabisaa

Hebu tuambie na wewe, nini ulijaribu mara moja na ukasema acha kiendelee kukupita tu
 
Aisee miye kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote

Mara ya kwanza tu kujaribu kuzila ndio ikawa funga kazi, nimeshindwa kuzirudia hata kama nikiona wengine wanakula miye mzuka nazo sina kabisaa

Hebu tuambie na wewe, nini ulijaribu mara moja na ukasema acha kiendelee kukupita tu
hiyo kitu inaitwa kabichi,
almanusura nitapikage utumbo. hata nikiiona tu sokoni natoka nduki kwendra kutapikia mbali pasipojulikana aise 🐒
 
Kufunga ndoa na kusaini cheti kabisa ,huku masela wakiona wivu nimeopoa chombo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee miye kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote

Mara ya kwanza tu kujaribu kuzila ndio ikawa funga kazi, nimeshindwa kuzirudia hata kama nikiona wengine wanakula miye mzuka nazo sina kabisaa

Hebu tuambie na wewe, nini ulijaribu mara moja na ukasema acha kiendelee kukupita tu
Kufuga nguruwe
 
Back
Top Bottom