Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa ovyoNilijaribu kupiga punyeto ikanishinda kabisa kiukweli. Sitorudia huo ujinga.
Tumeharibu wapi mkuu😂Mbaga Jr vijana wa ovyo mmeshakuja kuharibu uzi
Wewe pia ni kijana wa ovyo mkuu😁😁😁😁Kunywa mchuzi wa pweza nilijaribu mara moja aisee kidogo nitapike sasa hv nikiangalia wengine wanavyokunywa najiuliza wanawezaje?
Sababu za kuwa kijana wa ovyo ni zipi?Wewe pia ni kijana wa ovyo mkuu😁😁😁😁
Kipindi hicho nilikuwa na miaka 12, ulikuwa ni mwendo wa kutoboa godoro ndio. 😂😂😂😂Ulipiga nyeto kwa style ip mkuu au ulitoboa godoro Bila kuliwekea lubricant🤣
Ni hatari sana aiseeKuamini binadamu yoyote sitokaa nirudie.
Kula parachichi, huwa nashangaa watu wanavyo ligombania, wengine wanalia ugali wengine wali! Ila juisi yake naipenda!kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote
Hichi ulichokiandika akimake sense kabisa zaidi ya kuwa kijana wa ovyo tuTumeharibu wapi mkuu😂
Hahahahaha acha hizo mkuu wewe ni kijana wa ovyo pia 🤣🤣🤣🤣 tupo kundi moja japo mimi ni mzee🤣🤣Sababu za kuwa kijana wa ovyo ni zipi?
Mkuu kuamini watu sio tatizo, tatizo ni kuishi na watu kimazoea, binadam hazoeleki coz hubadilika kulingana na nyakati.Kuamini binadamu yoyote sitokaa nirudie.
Dah, kwahiyo sahivi uko wapi.....Kufunga ndoa na kusaini cheti kabisa ,huku masela wakiona wivu nimeopoa chombo 😁😁😁😁😁
Wewe ni mtoto wa shetani kabisa umeanza nyeto ukiwa na miaka 12 sureKipindi hicho nilikuwa na miaka 12, ulikuwa ni mwendo wa kutoboa godoro ndio. 😂😂😂😂
Hii huwa inasifika kwamba ni Biashara nzuri, nini kilikupata mpk hutaki tenaKufuga nguruwe
Nipo ndio natupia kamba juu ya mti nijinyonge😭Dah, kwahiyo sahivi uko wapi.....