Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Ko umejiunga na katibu dronedrakeMapenzi siyawez aisee, nmewaachia nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko umejiunga na katibu dronedrakeMapenzi siyawez aisee, nmewaachia nyie
Subiri kidogo utajinyonga tukiongea, ntakupigiaaaaa hapa kuna kelele za matarumbeta ndo naenda kufunga ndoa.....Nipo ndio natupia kamba juu ya mti nijinyonge😭
Machawa mnatakiwa mpikiwe kabichi huko Lumumba muache kusifia sifia ujinga.hiyo kitu inaitwa kabichi,
almanusura nitapikage utumbo. hata nikiiona tu sokoni natoka nduki kwendra kutapikia mbali pasipojulikana aise 🐒
Binafsi niliona mtaji unaoingiza na mavuno unayovuna ni vitu viwili tofauti,labda uwe na vitu vya bure kama vileHii huwa inasifika kwamba ni Biashara nzuri, nini kilikupata mpk hutaki tena
Hahahaha hapa napima kisukari kabla ya kujinyonga kimefika 2 mol/ L .yani kwenye maisha yangu hakuna utamu kabisa😭Subiri kidogo utajinyonga tukiongea, ntakupigiaaaaa hapa kuna kelele za matarumbeta ndo naenda kufunga ndoa.....
Huku ndoa huku simba utakufa rafiki 🤣🤣🤣🤣🤣
Nakuja pm network ya shida sikupatiHahahaha hapa napima kisukari kabla ya kujinyonga kimefika 2 mol/ L .yani kwenye maisha yangu hakuna utamu kabisa😭
Chairman Taifa siku ya maandamano alikua ni kama kabichi tu aise dah!Machawa mnatakiwa mpikiwe kabichi huko Lumumba muache kusifia sifia ujinga.
Karibu sana , nipo hewani fanya chap ndio nasokota kamba nijinyonge🤣Nakuja pm network ya shida sikupati
Dah aisee wewe unakosa mambo huku kwetu parachichi sio tunda ni mbogaKula parachichi, huwa nashangaa watu wanavyo ligombania, wengine wanalia ugali wengine wali! Ila juisi yake naipenda!
Hahaha shikilia hapo hapoSi tukikubaliana utaoa tena ukifika miaka 50 kumbe ulinidanganya?
Angalia porno huku unatia nyeto utanishukuruNilijaribu kupiga punyeto ikanishinda kabisa kiukweli. Sitorudia huo ujinga.
Pole.ulichanganya na maziwa fresh?Aisee miye kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote
Mara ya kwanza tu kujaribu kuzila ndio ikawa funga kazi, nimeshindwa kuzirudia hata kama nikiona wengine wanakula miye mzuka nazo sina kabisaa
Hebu tuambie na wewe, nini ulijaribu mara moja na ukasema acha kiendelee kukupita tu
Umenyoosha mikono kwa yule single mom wako? 😀😀😀Mapenzi siyawez aisee, nmewaachia nyie
Kaka muache utamuharibu kijana wa watu akijaribu hii kitu nakwambia awezi kuacha atuulize sieAngalia porno huku unatia nyeto
Nimejaribu kuusema ukweli, kumbe nimekosea jamani!! 🙆😂