Ni kitu gani ulijaribu kukifanya mara moja na ukagundua hutakaa ukirudie tena?

Ni kitu gani ulijaribu kukifanya mara moja na ukagundua hutakaa ukirudie tena?

Machawa mnatakiwa mpikiwe kabichi huko Lumumba muache kusifia sifia ujinga.
Chairman Taifa siku ya maandamano alikua ni kama kabichi tu aise dah!
makamanda wote walimsaliti chairman kwenye maandamano , sasa sijui walijiskia kichefu chefu au nini,

dah hatar sana aise 🐒
 
Sijui mchuzi wa pweza, na pweza mwenyewe, Ngisi na wale dagaa kamba sitaki hata kujaribu, nimeshawakula kula Kambare, siku mbili tu nikitokwa na mashilingi karibia mwili mzima sijagusa tena
 
Aisee miye kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote

Mara ya kwanza tu kujaribu kuzila ndio ikawa funga kazi, nimeshindwa kuzirudia hata kama nikiona wengine wanakula miye mzuka nazo sina kabisaa

Hebu tuambie na wewe, nini ulijaribu mara moja na ukasema acha kiendelee kukupita tu
Pole.ulichanganya na maziwa fresh?
 
Honestly korosho first time nmekula zika nikifu kabsa na siwezi zila tena japo wengine wana zipenda .tuna tofautiana
 
Back
Top Bottom