Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
hiyo kitu inaitwa kabichi,Aisee miye kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote
Mara ya kwanza tu kujaribu kuzila ndio ikawa funga kazi, nimeshindwa kuzirudia hata kama nikiona wengine wanakula miye mzuka nazo sina kabisaa
Hebu tuambie na wewe, nini ulijaribu mara moja na ukasema acha kiendelee kukupita tu
Ulipiga nyeto kwa style ip mkuu au ulitoboa godoro Bila kuliwekea lubricantπ€£Nilijaribu kupiga punyeto ikanishinda kabisa kiukweli. Sitorudia huo ujinga.
ππππππππππMm mara ya kwanza kusex π kumbe bhana unatakiwa uwe unaingiza na kuchomoa kwa haraka haraka, sasa Mm nilijua naingiza tuu afu naiacha humo.
Ah sitaki tena mapenzi π
Kipira ndio nini kwani? Nitoe ushamba mwenzangu ππππKula kipira..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kufunga ndoa na kusaini cheti kabisa ,huku masela wakiona wivu nimeopoa chombo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii mbaya sanaKuamini binadamu yoyote sitokaa nirudie.
Poleee πππππWanawake banaπ. Nimekuja mbio nikidhani kuna kitu ulifanya kikubwa sana mpaka kinatisha. Kumbe kula Pringles. Ngoja nisubiri wazee wa jela
Kufuga nguruweAisee miye kuna snacks hizi wanaita Pringles yooooh zimenishinda kabisaaa Maisha yangu yote
Mara ya kwanza tu kujaribu kuzila ndio ikawa funga kazi, nimeshindwa kuzirudia hata kama nikiona wengine wanakula miye mzuka nazo sina kabisaa
Hebu tuambie na wewe, nini ulijaribu mara moja na ukasema acha kiendelee kukupita tu
Acha tu rafiki yangu π€£[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbaga Jr vijana wa ovyo mmeshakuja kuharibu uziMm mara ya kwanza kusex π kumbe bhana unatakiwa uwe unaingiza na kuchomoa kwa haraka haraka, sasa Mm nilijua naingiza tuu afu naiacha humo.
Ah sitaki tena mapenzi π