Ni kitu gani uliwahi kuona mtu akifanya ukasema Tanzania watu wako na hela?

Ni kitu gani uliwahi kuona mtu akifanya ukasema Tanzania watu wako na hela?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mimi mwaka jana kuna jamaa alimpangia mchepuko wake nyumba kodi milioni mbili na nusu kwa mwaka akalipa kodi ya mwaka mzima na dalali akala milioni mbili Na nusu yake fasta.

Mchepuko umezaa na jamaa watoto wawili mapacha.

Jamaa ana mke wake. Watu wakawa wanasema kwanini jamaa asimjengee Tu mchepuko wake? Ikajulikana jamaa kamjengea mchepuko wake nyumba kali sana tena in a very decent neighborhood in DSM but kaamua kumpangia nyumba mtaa huo kwa ajili ya watoto kuwa karibu na shule.

Tupe ushuhuda wako na wewe ili tuwe motivated kutafuta pesa.

Some people are getting it out context Yani wao wanajadili kuhusu jamaa kumpangia mchepuko nyumba ya mil2.5 Kwa mwezi kwa mwaka mzima badala ya kujadili Mada " Jambo ulilo lishuhudia mtu akifanya TZ ukasema bongo Kweli watu Wana Hela. Wabongo Bana Yani " UNA MUACHA YESU UNA MCHAGUA BARABA" Ndio maana watu wanafeli Sana mitihani. Instead of answering the question, ur talking about the question!!.

Ningeweza kutoa mfano kama Huu hapa chini.

Screenshot_20220109-114336.png



In addition to that hii mada IPO on trending almost Dunia nzima. Hata Kenya juzi kuna comedian anaitwa NJUGUSH amepost Na watu wamefunguka. Nashangaa watz tunashindwa kuelewa concept ndogo kama HII. What's up? Zero IQ or what?

We are very slow AF. Ndio maana kwenye Soko la ajira ( kwenye makampuni/ taasisi) kama Kuna mbongo Na mkenya wanagombania nafasi Moja basi mkenya hupewa kipaumbele.

Niliwahi shuhudia kwenye interview Moja kwenye kampuni ya muhindi, short listed candidates walikuwa wabongo Na wakenya.Basi muhindi kafika kasema

" BHANA BHANA BHANA, WACHA WAKENYA WAANZE KWANZA KUFANYA INTERVIEW DIO NYINGINE TAFATIA BHANA, BARABARA CHEEE! BARABARA CHEE!!!

Alivyopost Njugush watu wamefunguka vitu vingi Sana Na Mimi nimejifunza vitu vingi Na kuwa inspired alot. But TZ dah. Tuendelee Ku discuss Simba Na Yanga Tu.

Screenshot_20220108-092818.png
 
Yaaaani umefuatilia mpaka ukajua hayo yote ??? Kweli wanaume tumebakia wachache hapa mjini.

Yaaaani umefuatilia mpaka ukajua hayo yote ??? Kweli wanaume tumebakia wachache hapa mjini.
1. Kapanga kwenye nyumba yangu.

2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa Zaidi. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi Zaidi yako Kwa Sababu torati ya mtaani inasema ukiona mtu ana tengeneza Pesa nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe

Ukitaka kuwa una spend Hela nyingi kwenye petty issues basi jifunze kutoka Kwa watu wanao spend Hela ndefu kwenye petty issues. I LOVE TO SPEND!! Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spent his money and guess what I discovered what he is doing and I am doing the same thing now and it pays me alot.

3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.

# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..
 
1. Kapanga kwenye nyumba yangu.

2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi. Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spend his money and guess what I discovered what he is doing and Inam doing the same thing now and it pays me alot.

3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.

# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..
Achan nao hao mkuu hao enyewe ni wafwatiliaji wakubwa tu wanajifanya sio wafwatiliaji
 
1. Kapanga kwenye nyumba yangu.

2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa Zaidi. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi Zaidi yako Kwa Sababu torati ya mtaani inasema ukiona mtu ana tengeneza Pesa nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe

Ukitaka kuwa una spend Hela nyingi kwenye petty issues basi jifunze kutoka Kwa watu wanao spend Hela ndefu kwenye petty issues. I LOVE TO SPEND!! Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spent his money and guess what I discovered what he is doing and I am doing the same thing now and it pays me alot.

3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.

# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..
 
1. Kapanga kwenye nyumba yangu.

2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa Zaidi. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi Zaidi yako Kwa Sababu torati ya mtaani inasema ukiona mtu ana tengeneza Pesa nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe

Ukitaka kuwa una spend Hela nyingi kwenye petty issues basi jifunze kutoka Kwa watu wanao spend Hela ndefu kwenye petty issues. I LOVE TO SPEND!! Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spent his money and guess what I discovered what he is doing and I am doing the same thing now and it pays me alot.

3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.

# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..
What a response!
 
Kupitia story yako ingekuwa ni mimi ningeipa tafsiri nyingine

Yaani nisingesema mchizi ana hela, ila zaidi ningemuona lofa
Nope bro. There is a positive thing in every negative thing.

The guy has money and the money has changed the way he thinks about money.

Matendo yake Yana tafsiri Kile anacho waza kuhusu Pesa.

Ukiwa Na Pesa lazima ikubadilishe Na lazima ibadilishe jinsi unavyo waza kuhusu Pesa.

50 cents when his net-worth was 300 million USD aliwahi kunukuliwa akisema " WHOEVER SAY MONEY HAS NOT CHANGED THEM, HAVE NEVER GOT ENOUGH OF IT" Akimaanisha yoyote asemae kwamba Pesa haijambadilisha basi Jua MTU huyo hajapata Pesa ZA kutosha.

Unayo haki ya kumuita lofa Kwa Sababu hujapata kumiliki Pesa anazo miliki yeye. .

Nilicho jifunza kuhusu Pesa Ni kwamba Kila kitu kinacho semwa kuhusu tabia ZA Pesa Na nguvu ya Pesa is nothing but truth
 
Uzi wa kufatilia maisha ya watu

Unawafaa machawa

Ova
Ha ha ha...mkuu kuna Jamaa jirani na ofisi yangu kanunua nyumba hizi za Kiswahili 250m kapiga chini ndani ya wiki mbili hivi anapiga slab ghorofa ya kwanza! Ilibidi nifuatilie,nikamuuliza kijana wa mtaani huyu ni Nani na anajenga nini? Lengo kama anajenga offices na vitu kama hivyo naweza kufanya booking kabisa.
Kwahio sometimes kufuatilia is inevitable labda uwe unaishi kisiwani Peke yako!
 
Ha ha ha...mkuu kuna Jamaa jirani na ofisi yangu kanunua nyumba hizi za Kiswahili 250m kapiga chini ndani ya wiki mbili hivi anapiga slab ghorofa ya kwanza! Ilibidi nifuatilie,nikamuuliza kijana wa mtaani huyu ni Nani na anajenga nini? Lengo kama anajenga offices na vitu kama hivyo naweza kufanya booking kabisa.
Kwahio sometimes kufuatilia is inevitable labda uwe unaishi kisiwani Peke yako!
Afadhali umesema wewe kaka.
 
Back
Top Bottom