Ni kitu gani unahofia/unaogopa kisikupate mpaka unaimaliza safari duniani?

Ni kitu gani unahofia/unaogopa kisikupate mpaka unaimaliza safari duniani?

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Kuna vitu tumekua tunaogopa au kuhofia visije kutupata katika maisha yetu. Tukianza na mimi hivi ni miongoni mwa vitu ambavyo vinanisababishia hofu:
  • Kupata ajali ya aina yoyote pikipiki au gari
  • Kung'atwa na viumbe vyenye sumu kama nyoka, n'ge, tandu au buibui
  • Kuuawa
  • Kupata ulemavu wa viungo kama mikono, macho, au miguu
  • Kupata maradhi kama TB, ukimwi, kisukari au magonjwa ya moyo au magonjwa ya hatari
  • Kuumizwa na vitu kama visu, panga risasi au vyenye ncha kali
  • Kufungwa jela
  • Kupigwa na watu wanaoweza kunizidi nguvu kama askari
  • Kunyang'anywa kitu changu chochote au kuvamiwa na majambazi
  • Na mwisho kupoteza marinda
 
Back
Top Bottom