Elissante
JF-Expert Member
- Aug 10, 2022
- 335
- 344
[emoji23] DR Haya Land , hilo ni tamanio baya mkuuMimi I wish to die
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] DR Haya Land , hilo ni tamanio baya mkuuMimi I wish to die
Aiseekuna family friend nilimwambia nitamkula, nilimfananisha nadhani na muhudumu fulani alikuwa kanikera
Mkuu wewe bora ufe tuu maana kila kitu unakiogopa. Hapo mm ninachokiogopa ni kutolewa marinda tuu.Kuna vitu tumekua tunaogopa au kuhofia visije kutupata katika maisha yetu. Tukianza na mimi hivi ni miongoni mwa vitu ambavyo vinanisababishia hofu:
- Kupata ajali ya aina yoyote pikipiki au gari
- Kung'atwa na viumbe vyenye sumu kama nyoka,n'ge ,tandu au buibui
- Kuuawa
- Kupata ulemavu wa viungo kama mikono, macho, au miguu
- Kupata maradhi kama TB, ukimwi, kisukari au magonjwa ya moyo au magonjwa ya hatari
- Kuumizwa na vitu kama visu, panga risasi au vyenye ncha kali
- Kufungwa jela
- Kupigwa na watu wanaoweza kunizidi nguvu kama askari
- Kunyang'anywa kitu changu chochote au kuvamiwa na majambazi
- Na mwisho kupoteza marinda
Kwani unafanyiwa mambo ya sirini sana mkuu?video yangu yoyote ku leak, yani sitaki ku trend mtandaoni
Mkuu, video ninazozungumzia ni kama ile ya bwana Chege chigunda mtoto wa mama saidKwani unafanyiwa mambo ya sirini sana mkuu?
Na walio comment tofauti na kuogopa kutolewa marinda means 🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌Mkuu wewe bora ufe tuu maana kila kitu unakiogopa. Hapo mm ninachokiogopa ni kutolewa marinda tuu.
Man, kuwa chizi afu utembee uchi ni bora kifo !!! i really feel bad nikimuona mtu ni chizi alafu yupo uchiKuchizika
limbwata
Sasa chizi kwa upande wake yeye pale haelewi kitu.. mybe akija kupona hapo ndo ishu nyingineMan, kuwa chizi afu utembee uchi ni bora kifo !!! i really feel bad nikimuona mtu ni chizi alafu yupo uchi
AFTER THAT KUNA KUWAKOSEA MPAKA KUPOTEZA RADHI ZA WAZAZI, HUNA JEMA UTAKALOFANYA.Kumuasi au kupoteza imani yangu kwa Muumba Wangu
Bantu Lady would you please share something with usKuna vitu tumekua tunaogopa au kuhofia visije kutupata katika maisha yetu. Tukianza na mimi hivi ni miongoni mwa vitu ambavyo vinanisababishia hofu:
- Kupata ajali ya aina yoyote pikipiki au gari
- Kung'atwa na viumbe vyenye sumu kama nyoka,n'ge ,tandu au buibui
- Kuuawa
- Kupata ulemavu wa viungo kama mikono, macho, au miguu
- Kupata maradhi kama TB, ukimwi, kisukari au magonjwa ya moyo au magonjwa ya hatari
- Kuumizwa na vitu kama visu, panga risasi au vyenye ncha kali
- Kufungwa jela
- Kupigwa na watu wanaoweza kunizidi nguvu kama askari
- Kunyang'anywa kitu changu chochote au kuvamiwa na majambazi
- Na mwisho kupoteza marinda
Ni kweli haelewi ila tatizo ni kila mtu anamuona uchi wake!!! hapo ndipo yalipo masikitiko yangu yani kila binadamu aone upo uchi hata kama huelewi ila ni mbaya sanaSasa chizi kwa upande wake yeye pale haelewi kitu.. mybe akija kupona hapo ndo ishu nyingine
So sad... AiseeeeNi kweli haelewi ila tatizo ni kila mtu anamuona uchi wake!!! hapo ndipo yalipo masikitiko yangu yani kila binadamu aone upo uchi hata kama huelewi ila ni mbaya sana
Dah hakuna kitu kinaniumizaga moyo wangu, kuingiwa huruma sana plus masononeko kama nikimuona mtu mwenye hali hiyo. Huwa nawaombea na kujiombea.Man, kuwa chizi afu utembee uchi ni bora kifo !!! i really feel bad nikimuona mtu ni chizi alafu yupo uchi