Ni kitu gani unahofia/unaogopa kisikupate mpaka unaimaliza safari duniani?

Ni kitu gani unahofia/unaogopa kisikupate mpaka unaimaliza safari duniani?

Kuna vitu tumekua tunaogopa au kuhofia visije kutupata katika maisha yetu. Tukianza na mimi hivi ni miongoni mwa vitu ambavyo vinanisababishia hofu:
  • Kupata ajali ya aina yoyote pikipiki au gari
  • Kung'atwa na viumbe vyenye sumu kama nyoka,n'ge ,tandu au buibui
  • Kuuawa
  • Kupata ulemavu wa viungo kama mikono, macho, au miguu
  • Kupata maradhi kama TB, ukimwi, kisukari au magonjwa ya moyo au magonjwa ya hatari
  • Kuumizwa na vitu kama visu, panga risasi au vyenye ncha kali
  • Kufungwa jela
  • Kupigwa na watu wanaoweza kunizidi nguvu kama askari
  • Kunyang'anywa kitu changu chochote au kuvamiwa na majambazi
  • Na mwisho kupoteza marinda
Mkuu wewe bora ufe tuu maana kila kitu unakiogopa. Hapo mm ninachokiogopa ni kutolewa marinda tuu.
 
Kuna vitu tumekua tunaogopa au kuhofia visije kutupata katika maisha yetu. Tukianza na mimi hivi ni miongoni mwa vitu ambavyo vinanisababishia hofu:
  • Kupata ajali ya aina yoyote pikipiki au gari
  • Kung'atwa na viumbe vyenye sumu kama nyoka,n'ge ,tandu au buibui
  • Kuuawa
  • Kupata ulemavu wa viungo kama mikono, macho, au miguu
  • Kupata maradhi kama TB, ukimwi, kisukari au magonjwa ya moyo au magonjwa ya hatari
  • Kuumizwa na vitu kama visu, panga risasi au vyenye ncha kali
  • Kufungwa jela
  • Kupigwa na watu wanaoweza kunizidi nguvu kama askari
  • Kunyang'anywa kitu changu chochote au kuvamiwa na majambazi
  • Na mwisho kupoteza marinda
Bantu Lady would you please share something with us
 
Man, kuwa chizi afu utembee uchi ni bora kifo !!! i really feel bad nikimuona mtu ni chizi alafu yupo uchi
Dah hakuna kitu kinaniumizaga moyo wangu, kuingiwa huruma sana plus masononeko kama nikimuona mtu mwenye hali hiyo. Huwa nawaombea na kujiombea.

Lakini kuna wapuuzi wanawakebehi hawa watu sijui wanajiskiaje
 
Back
Top Bottom