ππππππππMi binafsi pombe,naipenda na yenyewe inanipenda kwanza nimetoka nayo mbali na kama kuniharibia maisha imeshaniharibia sana kiasi kwamba hata nikiiacha sasa hivi haina maana,hebu fikiria toka enzi hizo nanywea hela ya ada ndo nije niiache leo?
Ninazo mbili.
Weakness yangu ya kwanza ni kukosaa wivu. sina wivu hata tone yaani. sikagui simu ya mtu,Nikiuliza uko wapi utakachonijibu ndicho nitachoamini. Si suspect mtu eti mbona anachati Sana au ana bby mwingine akhaaa. Siwezi yaani hadi ni mejaribu kufake wivu siweziiiii. yaani mi nakuamini tu .. Sasa hii inanileteaga matatizo kwa niwapendao wanaona kama siwajali,kumbe mi nawapenda tu kindakindaki[emoji23][emoji23][emoji23]...
Weakness ya pili ninafollow moody za partner kama mbaya au nzuri I'll dance accordingly.
Naona niko hivyo na nikiomba msamaha ujue namaanisha kweli ila ndo mgumu hasa kama kosa Ni la kutafuta kwa tochiHeee tatizo hilo! Yani we kuomba msamaha huwezi ila unataka uombwe mrembo?
Come on dear, i will Love You, the way you like.Weakness yangu mm nikimpenda mtu, nampenda Ile saana kupita kiasii, na hii weakness yangu inatumiwa Kam fimbo kuniadhibu pale mwanaume anapojua nimekufa nimeoza , na kwake sipindui, nashindwa nufanyeje ili niweze kupenda kiasii.natamani mm ndo nipendwe kama ninavopenda ,matokeo yake inakuwa vise versa.
Heheheheh ipo kaziNaona niko hivyo na nikiomba msamaha ujue namaanisha kweli ila ndo mgumu hasa kama kosa Ni la kutafuta kwa tochi
ππππMy dear ni tatizo...penzi laweza kufa natural deathHee nimekupenda bure.you dance accordingly
[emoji2405][emoji2405]Jamani nimeshakua mwee huu ulikua Ni utoto [emoji1787]
Kama familia yetu vile usije kuwa ndugu yangu weweNdio tulivyo kwetu, its like that kwa mshua,brothers n sisters. No infidelity damuni mwetu!
Huwezi jua mzeeπKama familia yetu vile usije kuwa ndugu yangu wewe
Dokta mbona unalazimisha tiba kwa mgonjwa?????Hakuna dhambi mbaya kama kumuacha binadam mwenzako Anateseka wakati unaweza kumsadia njoo usaidiwe tatzo liishe
2logM@km
Maanaake akinuna na wewe unanuna pia ama inakuwaje?Ninazo mbili.
Weakness yangu ya kwanza ni kukosaa wivu. sina wivu hata tone yaani. sikagui simu ya mtu,Nikiuliza uko wapi utakachonijibu ndicho nitachoamini. Si suspect mtu eti mbona anachati Sana au ana bby mwingine akhaaa. Siwezi yaani hadi ni mejaribu kufake wivu siweziiiii. yaani mi nakuamini tu .. Sasa hii inanileteaga matatizo kwa niwapendao wanaona kama siwajali,kumbe mi nawapenda tu kindakindakiπππ...
Weakness ya pili ninafollow moody za partner kama mbaya au nzuri I'll dance accordingly.
Duh!Huwezi jua mzeeπ
Kama kawaida....Sasa utachekaje na mtu aliyenuna si utakuwa chizi?Maanaake akinuna na wewe unanuna pia ama inakuwaje?
Noma kweli yaniπKama kawaida....Sasa utachekaje na mtu aliyenuna si utakuwa chizi?
Hii kitu hata mimi siipendi. Ni kweli unakua umependwa ila daah huo usumbufu wa kutaka kuchart kila mda siuwezi kwakweli.Wivu kama nikimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
How sure you are?π
Kweli lakini mi mwenyewe saivi siwezi kuchat muda wote tumeshakua SasaHii kitu hata mimi siipendi. Ni kweli unakua umependwa ila daah huo usumbufu wa kutaka kuchart kila mda siuwezi kwakweli.
Sometimes uko na washkaji mnapiga story ama uko job mtu anataka mchart sijui apige sim muongee cha kuongea chenyewe hamna zaid ya nambie nambie.