Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani, sasa ukimpata asiyemuelewa anatuona wasumbufu anatubwaga tu😪Upo kama mkewangu, dawa ya watu kama nyie ni kujishusha zaidi yenu na kubembeleza hata kama kosa ni langu.
Mzee ya Ban umerudi, habari ya mapumzikoni?😂Mapema sana mzee😛😛😛
Salama tu bebe vipi za huku uraiani?Mzee ya Ban umerudi, habari ya mapumzikoni?😂
Huku kwema kabisa, ila tu nishapata bebe mwingine mimi sikuweza kuvumilia hiyo bann ya mwaka😂😂Salama tu bebe vipi za huku uraiani?
😅😅😅😅😅😅 siku tano tu ushauza utu? Aisee kweli Marage ya MbeyaHuku kwema kabisa, ila tu nishapata bebe mwingine mimi sikuweza kuvumilia hiyo bann ya mwaka😂😂
Jamani nimeshakua mwee huu ulikua Ni utoto [emoji1787]Huna kazi
Siku tano bila bebe si rahisi ujue😂😂 maharage ya mbeya maji mara moja😂😂🙌😅😅😅😅😅😅 siku tano tu ushauza utu? Aisee kweli Marage ya Mbeya
Glasi moja ya maji wahuni washaepua wananyongea ugali!Siku tano bila bebe si rahisi ujue😂😂 maharage ya mbeya maji mara moja😂😂🙌
Hahahahah wivu ni mzuri ila ukizidi ni keroWivu kama nikimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
😂😂 ndiyo ukome kupata pata bann, next time utakuta nishaolewa na watoto juu😀Glasi moja ya maji wahuni washaepua wananyongea ugali!
Hahahahah haya rudi nyumbani haraka nakungoja hap😂😂 ndiyo ukome kupata pata bann, next time utakuta nishaolewa na watoto juu😀
Narudi ngoja nimuage huyu babe mpya😂Hahahahah haya rudi nyumbani haraka nakungoja hap
PumbafNarudi ngoja nimuage huyu babe mpya😂
Heee tatizo hilo! Yani we kuomba msamaha huwezi ila unataka uombwe mrembo?Sio mpk mahusiano ya kimapenzi ila mtu akiniomba msamaha kwa kutamka nisamehe niko dhaifu sana hata kabla hajajielezea Sana akisema tu naomba unisamehe najikuta mdogoo km piriton,, ila mie sijui kuomba msamaha kirahisi rahisi,
Ahaa sirudiii kwanza penzi jipya tamu kuliko la zamani😂😂Pumbaf
Baki huko huko ngoja nimuite miss pablo aje kuniliwaza mieAhaa sirudiii kwanza penzi jipya tamu kuliko la zamani😂😂
Yaani, sasa ukimpata asiyemuelewa anatuona wasumbufu anatubwaga tu[emoji25]
Hata mimi na hivyo visa vimenikuta sana kisa anaona yupo peke yake ila mimi hivyo visa ndivyo vinanifanya nihamie tawi nyingine. Sitakagi kero za makusudi.Yes na mimi nina hii. Yaani kucheat naona kama ni usumbufu flani. Sipendi maisha ya kujificha ficha na kujibanana misa una watu wengi.
Sema sasa mwanamke akishajua una yeye peke yake visa vinakuwa vingi
Kuna mtu anakaribia kupigwa na kitu kizitoNimezaa namwanamke anawivu Hadi magomvi yakudhuru mwili,yaani kwaukorofi ule nahalizangu zakutokua namwanamke mmoja ,sidhani kama nitatoboa,