Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Jiamini huyo Mwanamke kama kakuzidi nje basi ndani akufikii hata robo niaminiHapo Mi nimeona uzuri wa nje dear huko ndani watu si huwa wanavumiliana tu🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiamini huyo Mwanamke kama kakuzidi nje basi ndani akufikii hata robo niaminiHapo Mi nimeona uzuri wa nje dear huko ndani watu si huwa wanavumiliana tu🤔
Kujieleza siwezi,nina kigugumizi kikali.[emoji3][emoji3][emoji3]Eti mpendwa ana kuvumilia kwa kipi wifii yetu
😀😀😀Hongera kwa wifiKujieleza siwezi,nina kigugumizi kikali.
Ni mtetezi wangu muda wote,aliwahi kufumania mawasiliano ya sms,kuniuliza nikashindwa kujieleza,magego yalikakamaa,kupumua kukawa kwa shida huku najipiga piga mapajani. Alichonitamkia siku hiyo "nitaufunika ungo nikuue"....
Akamfuata msichana kumwambia asirudie kunitongoza tena.
Tunaishi kwa kuteteana na tumesha zeeshana.
😀Udhaifu wangu ni kusamehe sikaagi na bifu.
Unajua unaweza mpoteza mtu ambaye hutokuja ukutane na mtu Kama yeye,,,Hadi unajutaMimi udhaifu wangu ni wivu + hasira mixer kulia yaani nikipiga simu haijapokelewa roho inakua juu akijapokea baadaye naanza hadi kulia nikihisi alikua anachepuka huko then natangaza tuachane tu, baadaye hasira zikiisha ndiyo naanza kujiuliza hivi why nimemwambia tuachane wakati nampenda sana hivi ?narudi namwandikia gazeti la kumuomba msamaha tena na kusisitiza nampenda ni wivu tu wa upendo asiniache. Hamuwezi amini ila niliachwa sababu ya wivu na kulia. Nikabembeleza sana aah hakurudi ng'oo.[emoji848]
Atakuja kupasha kiporoYes nimeona inanicost maana nimempoteza kipenzi sababu ya wivu tu[emoji25]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mmh nisijipe moyo hapo dear! Hawezi kurudi amepata mwingine bonge la pisi mtoto mzurii, hawezi kurudi kwa mkulima mimi[emoji23][emoji23]
How it feels kuona Ex wako yupo na mtoto mkali kukuzidi[emoji25][emoji25]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akikumbuka huwa anacheka sana[emoji3][emoji3][emoji3]Hongera kwa wifi
Tulia njia kuu kuepuka mgogoro ila mkeo mpole sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] akikumbuka huwa anacheka sana
Muache tumuendeshe kwanza jamani.
Sijawahi kukatiza vichochoroni na uzee ulisha tuandama siku nyingi,tunahangaika na wajukuuTulia njia kuu kuepuka mgogoro ila mkeo mpole sana
kaka Extrovert natumai ulifanikisha hii kaziKama mimi kumbe, tuungane...
Unaya makubwa sana!?MATAKO DAAAH ACHENI TU [emoji22][emoji22]
Unayo makubwa Sana!??MATAKO DAAAH ACHENI TU [emoji22][emoji22]
Ukiwa unapika Kaanga vitunguu kwa kutumia kisu huku ukinuia kwamba unaukaanga wivu . 😁