Ni kitu gani unakiona kama udhaifu wako mkubwa hasa kwenye mahusiano?

Ni kitu gani unakiona kama udhaifu wako mkubwa hasa kwenye mahusiano?

Mimi udhaifu wangu ni wivu + hasira mixer kulia yaani nikipiga simu haijapokelewa roho inakua juu akijapokea baadaye naanza hadi kulia nikihisi alikua anachepuka huko then natangaza tuachane tu, baadaye hasira zikiisha ndiyo naanza kujiuliza hivi why nimemwambia tuachane wakati nampenda sana hivi ?narudi namwandikia gazeti la kumuomba msamaha tena na kusisitiza nampenda ni wivu tu wa upendo asiniache. Hamuwezi amini ila niliachwa sababu ya wivu na kulia. Nikabembeleza sana aah hakurudi ng'oo.🤔
Pole inabidi upunguze mrembo
 
Upo kama mimi, mpaka masela kitaa huwa wanajua mimi labda nina matatizo lakini ndivyo nilivyoumbwa. Nikimpenda mmoja basi ni huyo huyo mpaka tu break up! Ila nakua na marafiki wa kike baadhi ili kuyeyushia stress kwa stories tukiachana na nimpendae japokua kumsahau ni mpaka ipite miezi mingi mno, afu siachagi mwanamke mara nyingi mpaka anichoke yeye tu labda.
Yani tupo sawa sawa yani
 
Mimi udhaifu wangu ni wivu + hasira mixer kulia yaani nikipiga simu haijapokelewa roho inakua juu akijapokea baadaye naanza hadi kulia nikihisi alikua anachepuka huko then natangaza tuachane tu, baadaye hasira zikiisha ndiyo naanza kujiuliza hivi why nimemwambia tuachane wakati nampenda sana hivi ?narudi namwandikia gazeti la kumuomba msamaha tena na kusisitiza nampenda ni wivu tu wa upendo asiniache. Hamuwezi amini ila niliachwa sababu ya wivu na kulia. Nikabembeleza sana aah hakurudi ng'oo.🤔
Na tatizo la kuachwa halitaisha kwa style hio! Tabia ya kususa susa mtu mzima inanikeraga kichizi 😹😹😹 jifunze kuwa calm! Kila ukipigiwa simu unaleta maswali ya polisi 😅
 
Na tatizo la kuachwa halitaisha kwa style hio! Tabia ya kususa susa mtu mzima inanikeraga kichizi 😹😹😹 jifunze kuwa calm! Kila ukipigiwa simu unaleta maswali ya polisi 😅
Dah haya basi naacha jamani, mimi kiukweli now nimeacha siulizi chochote na hata usipopokea simu week haina shida eeh furahia sasa
 
Na tatizo la kuachwa halitaisha kwa style hio! Tabia ya kususa susa mtu mzima inanikeraga kichizi 😹😹😹 jifunze kuwa calm! Kila ukipigiwa simu unaleta maswali ya polisi 😅
Hiyo inatokea tatizo kujizuia ufanye juhudi hasaaa
 
Mimi sasa......... (ngoja nicheke kwanza)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
1. Napenda sana, najali sana, yaan kila kitu kinachomaanisha true love huwa nafanya
LAKINI mpenz wangu akifanya kosa moja tu (hata kama ni dogo)....... Huwa nashindwa tena kumwamini hata iweje, upendo huanza kupotea, sitomjali tena, na hata ile attention naye inatokomeaga wapi cjui.. Na hapo ntaanza kutafta mwngne.

YAANI KOSA MOJA HUBADILI KILA KITU KWENYE MAHUSIANO YANGU
 
Back
Top Bottom