Bibooo
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 401
- 290
Mimi napenda kunyenyekewa na kuwa mtu wa mwisho kwenye maamuzi ya kila kitu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Udikteta huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi napenda kunyenyekewa na kuwa mtu wa mwisho kwenye maamuzi ya kila kitu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi shida yangu ni kuhonga. Siwezi kabisa nikitoa hata buku basi nitafunga week nzima
play boy mzigoniNikila mzigo tu sirud tena..... Kuna wakat inaniumiza sana but I just can't handle it
Sent using Jamii Forums mobile app
nataka hela.
Tatizo hutajagi kiasinataka hela.
kamilioni kamoja tu.Tatizo hutajagi kiasi
Haya nenda benki kisha chukua karatasi ya kutoa uandike account namba yako upewe harakakamilioni kamoja tu.
Hahaaa!!![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hasira sana. Niliwahi kumuacha girlfriend wangu bus stand baada ya kuniudhi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Haya nenda benki kisha chukua karatasi ya kutoa uandike account namba yako upewe haraka
Same to meNahisi weakness yangu kubwa huwa siwezi ukicheche kabisa, nikimpenda mmoja ndio basi nashindwa ile tabia ya ki ngedere kuhama hama miti hali inayopelekea usumbufu mtu akishajua nampenda kweli na kumjali sana.
Tukaze roho tuNo
Same to me
Upo kama mimi, mpaka masela kitaa huwa wanajua mimi labda nina matatizo lakini ndivyo nilivyoumbwa. Nikimpenda mmoja basi ni huyo huyo mpaka tu break up! Ila nakua na marafiki wa kike baadhi ili kuyeyushia stress kwa stories tukiachana na nimpendae japokua kumsahau ni mpaka ipite miezi mingi mno, afu siachagi mwanamke mara nyingi mpaka anichoke yeye tu labda.Nahisi weakness yangu kubwa huwa siwezi ukicheche kabisa, nikimpenda mmoja ndio basi nashindwa ile tabia ya ki ngedere kuhama hama miti hali inayopelekea usumbufu mtu akishajua nampenda kweli na kumjali sana.