Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akinikosea simwambii umenikosea namchunia mazima mpaka aanze yeye kuniulizaulizaWakuu habari.
Kuna huu msemo kua hakuna aliyekamilika chini ya jua. Hivyo kila mtu ana madhaifu yake, unaweza kua unaujua udhaifu wako au huujui lakini bado utakua na mapungufu flani kadha wa kadha.
Mimi udhaifu wangu mkubwa ni u laissez faire na kua too gentleman. Mimi hua sio mtu wa kutake things serious sana, lakini pia mimi ni mnyenyekevu au mpole sana hasa kwenye mahusiano.
Hadi mama yangu aliwahi kuniambia kua wanawake watakua wananiendesha sana. Mimi hua siwezi kumgombeza mwanamke au kumkemea hata akinikosea.
Binafsi naona udhaifu wangu kwa wanawake umepitiliza kikomo ila sina jinsi ya kufanya, niko mpole sana.
Hayo ndio madhaifu yangu, wewe nini udhaifu wako hasa kwenye mahusiano.
Ahsante.
Huna kaziWivu kama nikimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
Mnh! N kweli mkuu na.me nijifanyie hyo tiba asilia hhahahahUkiwa unapika Kaanga vitunguu kwa kutumia kisu huku ukinuia kwamba unaukaanga wivu . [emoji16]
Naona jinsi mnavyofundishana uchawi[emoji3][emoji3]Ukiwa unapika Kaanga vitunguu kwa kutumia kisu huku ukinuia kwamba unaukaanga wivu . [emoji16]
Yes na mimi nina hii. Yaani kucheat naona kama ni usumbufu flani. Sipendi maisha ya kujificha ficha na kujibanana misa una watu wengi.Nahisi weakness yangu kubwa huwa siwezi ukicheche kabisa, nikimpenda mmoja ndio basi nashindwa ile tabia ya ki ngedere kuhama hama miti hali inayopelekea usumbufu mtu akishajua nampenda kweli na kumjali sana.
Hahahahha! 😁😁Naona jinsi mnavyofundishana uchawi[emoji3][emoji3]
Mm nachukiwa nahali hii hua Naona kama ananichunguza as if kunajambo Baya nafanya ,napenda Uhuru binafsi napenda spacing!napenda nimummiss mpenzi wanguKatika jambo linalonishinda kwenye mahusiano ni hilo,la kupigiana simu kila mara,sms kwa wingi,kila unakokuwa location yako iwe inajulikana,ukowapi,unafanya nini umekula,yaan aisee siwezi kabisa.Napenda kuwa huru,kuwa na my own space,mambo ya kugandana kama luba siyawezi,na ndo maana niko singo[emoji2]
Nimezaa namwanamke anawivu Hadi magomvi yakudhuru mwili,yaani kwaukorofi ule nahalizangu zakutokua namwanamke mmoja ,sidhani kama nitatoboa,Itabidi tumuite daktari wa kutibu hili gonjwa 'wivu ' maana linawatesa wengi ktk mahusiano yenu.
Mimi udhaifu wangu ni wivu + hasira mixer kulia yaani nikipiga simu haijapokelewa roho inakua juu akijapokea baadaye naanza hadi kulia nikihisi alikua anachepuka huko then natangaza tuachane tu, baadaye hasira zikiisha ndiyo naanza kujiuliza hivi why nimemwambia tuachane wakati nampenda sana hivi ?narudi namwandikia gazeti la kumuomba msamaha tena na kusisitiza nampenda ni wivu tu wa upendo asiniache. Hamuwezi amini ila niliachwa sababu ya wivu na kulia. Nikabembeleza sana aah hakurudi ng'oo.[emoji848]
DramaYes na mimi nina hii. Yaani kucheat naona kama ni usumbufu flani. Sipendi maisha ya kujificha ficha na kujibanana misa una watu wengi.
Sema sasa mwanamke akishajua una yeye peke yake visa vinakuwa vingi