Ni Kitu ghani ulishawahi kuona kwenye nyumba/chumba cha mtu ukashindwa kabisa kuelewa kilifikaje fikaje pale?

Kunguni ni either uchafu au kuna mtu ni kikojozi au damu ushasikia mtu anakwambia una dam ya kunguni?? unaweza ukawa huna hivp vitu ukaenda sehem wapo ukahisi utawabeba lakini ikawa hola??
 
Kunguni ni either uchafu au kuna mtu ni kikojozi au damu ushasikia mtu anakwambia una dam ya kunguni?? unaweza ukawa huna hivp vitu ukaenda sehem wapo ukahisi utawabeba lakini ikawa hola??
Uchafu pia huchangia sana kunguni kuweka kambi.
kunguni m1 tu ukimbeba anatosha sana kukuletea janga la kunguni
 
Uchafu pia huchangia sana kunguni kuweka kambi.
kunguni m1 tu ukimbeba anatosha sana kukuletea janga la kunguni
mkuu kuna hilo balaa la kuishi na vikojozi usiombe, kuna mama mtu nilimwazima mtandio bas kabla hajaurudisha napita kwake nakuta anatoa magodoro nje na vitanda namuuliza kulikoni leo ananambia kunguni nilifadhaika na nguo yangu siku anaurudisha nilikua nauanika nje jua kali nikitoka hapo naufua nauanika tena kama mara tatu hivi nikauacha nje usiku upigwe nanbaridi ndipo nilipouweka kabatini
 
Kwanini usingemuachia au ungeutupa kabisa. Hiyo mifugo ni tishio ni vidudu vidogo lakini korofi sana.
 
Katika harakat za maisha nilipga kambi kw mwnangu, nilikaa kwake km mwezi hiv cku nimechlewa kuamka naweka mazngra sawa ya ktnd upande anaopenda kulala nikahisi kitu km kijiwe hv c nipekue nitoe nakuta ni hirizi
 
C.H.A.I
 
Katika harakat za maisha nilipga kambi kw mwnangu, nilikaa kwake km mwezi hiv cku nimechlewa kuamka naweka mazngra sawa ya ktnd upande anaopenda kulala nikahisi kitu km kijiwe hv c nipekue nitoe nakuta ni hirizi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukaondoka siku hiyo hiyo
 
Hiyo ni kweli.Nimewahi kulala nyumba moja ya wageni kitanda kikiwa modeli hiyo.Nililala kama nipo kibarazani huku nacheka usiku karibia wote.Hapo kwenye nyumba ya kupanga kunahitaji maombi zaidi.[emoji23][emoji23]
Kuna gesti moja RUANGWA mkoani Lindi kuna vitanda vya Tofali za kuchoma.. wamepiga marumaru. Safi kabisa
 
Hiyo ni kweli.Nimewahi kulala nyumba moja ya wageni kitanda kikiwa modeli hiyo.Nililala kama nipo kibarazani huku nacheka usiku karibia wote.Hapo kwenye nyumba ya kupanga kunahitaji maombi zaidi.😂😂
Zanzibar wanajenga haya mavitanda kwakweli mara ya kwanza sikuweza kulala mana niliona kama tayari nshajiingiza mwenyewe kaburini bila kukata roho....Alafu wapemba sio wa mambo ya kunyanduana kwa nguvu iweje wajenge matofari?
 
Ghetto kijijini nilipoenda kusalimia nikapewa nilale na huyo bro anayelala hapo anaingia kama sasa sita usiku .Bhana nimeenda kulala kama saa nne kasoro aisee nashangaa panaletwa Mbuzi mule ndani tulale nao wapo kama watano hivi na nilikuwa nipo alone jamaa bado hajaja mpaka saa sita.

Hao mbuzi hawalali wanatafuna usiku mzima na unasikia kabisa "kwachu kwachu kwachu " na mule ndani hamna majani sijui wanayatoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…