miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
yani we si unajua mambo ya sikukuu mambo mengi ya starehe mkuu .. ila nadhani yako iliienda pouwa ndiyo maana ukunitafutaMiss za kuniacha solemba Kilisimass na Muaka Mpiyaaa?
bAIZEWEY jiwe si kiumbe bali ni Ndege...
Yaani wewe, haya bhana.Hahah! Nyau ni kivumishi cha sifa mkuu..
Mie mambo yangu JLW na akina Ngalikihinja au sio....huku tuwaachie watambikaji akina mshana jr na MziziMkavu eeeeeAliyepaa ni Nabii Elisha (ambaye kimsingi ndiye nabii aliyefanya makubwa pengine kuzidi Yesu)..
Yesu yeye alikufa na kwenda kuzimu kuchukua ufunguo wa uzima wa milele kwa muda wa siku tatu...
Soma neno, elewa neno, tenda neno!
Halafu haya sio mambo yako madam, basi tu unajilazimisha.. teh!
Mwambie Mbingu haijabinafsishwa kwao wanajiita wenyewe kwao.. Asituzingue huyo... Siku atakapotukuta tumefika mbinguni halafu yeye yuko kunakomuhusu ndo atashaa...Mie mambo yangu JLW na akina Ngalikihinja au sio....huku tuwaachie watambikaji akina mshana jr na MziziMkavu eeeee
Mwanaume una mipasho wewe.....nakugawa bureeeeeeeMwambie Mbingu haijabinafsishwa kwao wanajiita wenyewe kwao.. Asituzingue huyo... Siku atakapotukuta tumefika mbinguni halafu yeye yuko kunakomuhusu ndo atashaa...
HahahhaaNilikuwa nawachora tu ghafla nikajikuta nimepoteza lengo nikajikuta naduwaa.
Yaani mpaka kuja kwako ujuwe washanigawa hukooo...!! we kwako nimenata sitoki sigawiki kama namba witiri...Mwanaume una mipasho wewe.....nakugawa bureeeeeee
Mbinguni pia kuna kifo ?Jibu langu hakuna kiumbe atakaekwepa MAUTI si duniani wala mbinguni wala popote pale..
Nasikia yanafugwa na baadhi ya watu na kuzaliana iweje hayafi?Majini na Mashetani
Malaika hawafii...!Wakuu,
Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.
Je, ni kiumbe gani hicho?
Mnaokijua tuambieni
CrabsWakuu,
Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.
Je, ni kiumbe gani hicho?
Mnaokijua tuambieni
jaribu kurudisha lengo mkuu... ili nasi tuelewepoNilikuwa nawachora tu ghafla nikajikuta nimepoteza lengo nikajikuta naduwaa.
hivi nyinyi wanga hamna pm/inbox mpaka mambo yenu muongelee hadharani???Madame B tafadhali naomba tukutane makaburi ya mwananyamala saa sita usiku kuna ishu, vaa kaniki tuu
Pm ziko kwenye makomeohivi nyinyi wanga hamna pm/inbox mpaka mambo yenu muongelee hadharani???
Pm ziko kwenye makomeo