Ni kiumbe gani hapa duniani huishi milele bila kufa?

Maelezo mazuri sana, wataelewa tu
 
Kwa mujib wa qur an kila chenye kuwepo kwenye uso wa dunia kitatoweka, ndo mana nakipendaga mno kitabu hiki hakuna utakachokosa majibu yake humo
 
Maneno mengii, pumba tupu
 
Mkuu sisi hatupingani na bible....Yesubkweli alikufa na siku ya tatu akafufuka......ndo mana tunaadhimisha PASAKA.....Kama kumbukumbu ya kufufuka kwake full stop.
Kuwa hyo hl andko linalosema ishara ya yesu ni kama ya yona n uongo?? Tatzo wakrsto mnaabudu vtu mcvyo vjua na vng n uzushi ulioletwa na waroma. Unaijua asili ya pasaka ww?
 
Kuwa hyo hl andko linalosema ishara ya yesu ni kama ya yona n uongo?? Tatzo wakrsto mnaabudu vtu mcvyo vjua na vng n uzushi ulioletwa na waroma. Unaijua asili ya pasaka ww?
Sio wakristo tu... Hata nyie waislam ni zero tu kama hao wakristo
 
Hiv roho ni nn mkuu?? Mana nalckiaga tu hili neno
mkuu hao jamaa wanadanganyana tu hakuna mtu yeyote anajua roho ni nini? hata NABII MUHAMMAD( S.A.W) AMBAE HAKUWA AKIONGEA KWA UTASHI ILA KUTOKANA NA WAHYI WA M/MUNGU ALIWAHI ULIZWA NA MASWAHABA KUHUSU ROHO NA AKASEMA ROHO ELIMU YAKE IPO KWA M/MUNGU TU HAKUNA BINADAMU ANAEJUA ROHO NI NINI?, HILO JIBU ALILILOTOA TOKA KARNE YA SABA AMBAZO WENZETU WANAITA NI ZAMA ZA GIZA ILA MPKA LEO ZAMA ZA SAYANSI NA TEKNOLOJIA WANASAYANSI DUNIANI HAWANA JIBU KAMILI LA KUKUAMBIA ROHO NINI?WANABAKI KUDHANI DHANI TU ILA ALISHATUAMBIA ALLAH SIS WAISLAMU KUWA DHANA HAINA NGUVU MBELE YA HAKI TUBAKIE NA MAJIBU YA MTUME WETU AMBAE NDIE MWANASAYANSI MKUBWA KULIKO WANASAYANSI WOTE DUNIAN KWAMBA ROHO NI NINI HILO JAMBO ANAJUA MUNGU TU!
 
MIMI NIJUAVYO NI KWAMBA ROHO NI UHAI
 
Tardigrade au water bear. Ni micro-animal aishie kwenye maji. Wanauwezo wa kuishi kwenye extreme conditions be it baridi Kali sana au joto Kali sana hata mahala pasipo na hewa kama space pia wanaweza kuishi kwa muda fulani.

Water bear Wanauwezo wa kuishi miaka 10 bila chakula wala maji na inaaminika ndio kiumbe pekee aliye survive vipindi vyote vya mpito vya viumbe hai

Wanaweza kuishi kwenye mazingira ya −272 °C to 150 °C. Google utapata info zao zaidi
 
MIMI NIJUAVYO NI KWAMBA ROHO NI UHAI
UNASEMA HIVYO UKIWA NA MAANA UKIIKOSA ROHO HUWEZI KUWA NA UHAI?BASI MBONA HATA UKIKOSA MAJI NA CHAKULA HUWEZI KUWA HAI,ROHO NA UHAI NI VITU VIWILI TOFAUTI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…