partey
Member
- Nov 16, 2020
- 50
- 56
Kuna jambo kubwa sana la kujifunza hata ambao hawajakutana na visa au hata kue desha kabsa.
Ili siku ukiwa na ndiga lako usiendeshe kwa mazoea ujue kabsa kwamba nikiendesha ivi au vile naweza kutana na hatari.
Visa ni vingi watu wamevielezea zaidi vinahusiana na hatari ya
1.ku overtake bila kuchukua tahadhari zaidi.
2.matumizi ya cm wakati wa kuendesha.
3. Kukatisha sehemu zenye mikondo ya maji chukua tahadhari kubwa.
Hii nakazia iko ivi kitaalamu tairi zimejazwa kwa upepo hivyo zinatabia ya kuelea zinapopita kwenye sehemu yenye kina hata kidog cha maji...inakuwa kama yale maboya yanayoelea kwenye maji.
3. Overspeed ni hatari kwasababu hata likitokea la kutokea inakuwa risk kubwa hata kujiokoa unabaki kusubir huruma za allah.
NB: Najifunza kwamba hata nikiwa barabaran nisijisahau kwa kuwafikiria wale madereva ambao wanaweza kukusababishia hatarii
Speed speed speed ni majan[emoji879][emoji879].
Tuendelee kutoa uzoefu kuna kundi kubwa linajifunza.
Ili siku ukiwa na ndiga lako usiendeshe kwa mazoea ujue kabsa kwamba nikiendesha ivi au vile naweza kutana na hatari.
Visa ni vingi watu wamevielezea zaidi vinahusiana na hatari ya
1.ku overtake bila kuchukua tahadhari zaidi.
2.matumizi ya cm wakati wa kuendesha.
3. Kukatisha sehemu zenye mikondo ya maji chukua tahadhari kubwa.
Hii nakazia iko ivi kitaalamu tairi zimejazwa kwa upepo hivyo zinatabia ya kuelea zinapopita kwenye sehemu yenye kina hata kidog cha maji...inakuwa kama yale maboya yanayoelea kwenye maji.
3. Overspeed ni hatari kwasababu hata likitokea la kutokea inakuwa risk kubwa hata kujiokoa unabaki kusubir huruma za allah.
NB: Najifunza kwamba hata nikiwa barabaran nisijisahau kwa kuwafikiria wale madereva ambao wanaweza kukusababishia hatarii
Speed speed speed ni majan[emoji879][emoji879].
Tuendelee kutoa uzoefu kuna kundi kubwa linajifunza.