Others
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,189
- 2,765
Gambe na Chombo haviendani nshakulaga mizinga mitatu tofauti tofauti ila wa mwisho ulikua BabaLao mpaka nikajifunza Funzo kubwa sana.
Funzo: Speed & Alcohol.
Nikiwa nadrive hata iweje sigusi kilevi.
Nikigusa kilevi au niwe Sober siruhusu mtu aliyekunywa aniendeshe.
Haijalishi nakwenda wapi Speed mwisho ni 120km/h.
Funzo: Speed & Alcohol.
Nikiwa nadrive hata iweje sigusi kilevi.
Nikigusa kilevi au niwe Sober siruhusu mtu aliyekunywa aniendeshe.
Haijalishi nakwenda wapi Speed mwisho ni 120km/h.