Ni Kosa gani la ovyo ulilowahi kufanya tangu uanze kuendesha gari?

Ni Kosa gani la ovyo ulilowahi kufanya tangu uanze kuendesha gari?

Na matukio mengi ila hili ni la kwanza, nilikua na week toka ninunue chuma. Nilikua bado na ule ulena sasa bhana unajua ukiwa na chuma kipya unakua na mapepe flani hv unaona kama foleni unachelewa hapo ushaanza kujua ku overtake kutembea na gari 100+ kwako ndo ujanja.

Sasa nilikua shekilango road napanda kutokea ustawi chuo pale niko spidi sasa pale mataa ya africa sana nikaona kijani ina count ipo 3 nikasema hapa nakanyaga wese niwai mataa aisee nikafanikiwa pita niko spidi balaa

kwa mbele ya mataa kama mita 50’hivi kuna tuta na nilikua sina hiyo idea kama kuna tuta aisee niko spidi balaa kufika pale nashtuka tuta hili break ikafeli aisee nilipaaa kama niko kwenye ndege nilibamiza gari sana kutua ikabd niingie kituon baada ya lile tuta. Nadhani mmepata picha lile tuta lilivyo kubwa.

Nashukuru Mungu gari ilikua salama sikuharibu chochote ilibd daladala aliyekuwa nyuma yangu ashuke kuniangalia alihis nimelewa lile tuta bila shaka wahanga ni wengi sana usiku huwa halionekani sana.
Matuta ya Shekilango Road ni makubwa kama ugomvi.
 
Aiseeee pole mkuuu.

Hii ilikuwa ni risk sana.

Shukuru huyo mwenye Nissan naye hakuhama maana mngevaana uso kwa uso.

Ni DashCam gani hiyo unatumia?
Shukrani sana aisee..

Yaani hizo sekunde kadhaa akili inawaza alternatives kibao.. Uzuri dereva wa dalalada wengi ni wazoefu kwenye hatari..!

Aisee hiyo ni simu..!
 
View attachment 2183189
Namfukuza Ranger.. Ameshaingia kwenye radar yangu.. Kumbe kuna Lorry mbili kati.. Nikahisi ninaweza kuzimaliza.. Aisee Lorry la kwanza limeisha naona TD42 Civilian inapanda.. Breki nimeshachelewa nitagusa Lorry.. Ikabidi nidownshift gear niingie pembeni..!uzembe..
MUNGU ni mwema..!

Una uzoefu wa kuendesha gari barabara za kwenda mkoa kwa muda gani?

Maana ninachokiona hapa ni ukosefu wa uzoefu, sehemu ipo plain hivyo dereva mzoefu hawezi fanya kosa ulilofanya...
 
Una uzoefu wa kuendesha gari barabara za kwenda mkoa kwa muda gani?

Maana ninachokiona hapa ni ukosefu wa uzoefu, sehemu ipo plain hivyo dereva mzoefu hawezi fanya kosa ulilofanya...
Muda mrefu..

Ndio maana inaitwa kosa.. Sababu dereva ni mzoefu..
Kwa learner isingekuwa kosa.. Anajifunza..!
 
Na matukio mengi ila hili ni la kwanza, nilikua na week toka ninunue chuma. Nilikua bado na ule ulena sasa bhana unajua ukiwa na chuma kipya unakua na mapepe flani hv unaona kama foleni unachelewa hapo ushaanza kujua ku overtake kutembea na gari 100+ kwako ndo ujanja.

Sasa nilikua shekilango road napanda kutokea ustawi chuo pale niko spidi sasa pale mataa ya africa sana nikaona kijani ina count ipo 3 nikasema hapa nakanyaga wese niwai mataa aisee nikafanikiwa pita niko spidi balaa

kwa mbele ya mataa kama mita 50’hivi kuna tuta na nilikua sina hiyo idea kama kuna tuta aisee niko spidi balaa kufika pale nashtuka tuta hili break ikafeli aisee nilipaaa kama niko kwenye ndege nilibamiza gari sana kutua ikabd niingie kituon baada ya lile tuta. Nadhani mmepata picha lile tuta lilivyo kubwa.

Nashukuru Mungu gari ilikua salama sikuharibu chochote ilibd daladala aliyekuwa nyuma yangu ashuke kuniangalia alihis nimelewa lile tuta bila shaka wahanga ni wengi sana usiku huwa halionekani sana.
Mkuu pole sanaa
 
Mimi nafikiria kuchomekea kipisicha nondo chini ya gas pedal ili nisivuke 80, au kuna njia nyingine? au nibandike karatasi "speed kills" kwenye usukani.
Maana unajisahau unakuwa rough mpaka unajishangaaa.
 
Na matukio mengi ila hili ni la kwanza, nilikua na week toka ninunue chuma. Nilikua bado na ule ulena sasa bhana unajua ukiwa na chuma kipya unakua na mapepe flani hv unaona kama foleni unachelewa hapo ushaanza kujua ku overtake kutembea na gari 100+ kwako ndo ujanja.

Sasa nilikua shekilango road napanda kutokea ustawi chuo pale niko spidi sasa pale mataa ya africa sana nikaona kijani ina count ipo 3 nikasema hapa nakanyaga wese niwai mataa aisee nikafanikiwa pita niko spidi balaa

kwa mbele ya mataa kama mita 50’hivi kuna tuta na nilikua sina hiyo idea kama kuna tuta aisee niko spidi balaa kufika pale nashtuka tuta hili break ikafeli aisee nilipaaa kama niko kwenye ndege nilibamiza gari sana kutua ikabd niingie kituon baada ya lile tuta. Nadhani mmepata picha lile tuta lilivyo kubwa.

Nashukuru Mungu gari ilikua salama sikuharibu chochote ilibd daladala aliyekuwa nyuma yangu ashuke kuniangalia alihis nimelewa lile tuta bila shaka wahanga ni wengi sana usiku huwa halionekani sana.
Mbona ndo njia yangu daily....hilo tuta mbona sijakumbana nalo[emoji849][emoji848]
 
Mmeanza jf wote mna magari mfyuuuu[emoji57][emoji57]
Kwahiyo wote wanaochangia mada jukwaa la siasaeni wanasiasa.
Jukwaa la afya wote Ni madaktari kule.

Mada hapa Ni kwa wenye magari au ww Ni dereva wa gari lolote iwe kwa kuajiriwa,uliazima ukaendesha na ulishafanya kosa la kijinga barabarani. Unataka kutuambia memba wote was jf wamekomenti hapa.

Jione we huna gari, Ila wengine wanayo.

Km vile una kawivu flani ivi.

Furaha yako Ni kuona watu hawachangii chochote basi ufurahi kwamba watu hawana magari.

Una mawazo ya kimaskinie.
 
Kwahiyo wote wanaochangia mada jukwaa la siasaeni wanasiasa.
Jukwaa la afya wote Ni madaktari kule.

Mada hapa Ni kwa wenye magari na ulishafanya kosa gani barabarani. Unataka kutuambia memba wote was jf wamekomenti hapa.

Jione we huna gari, Ila wengine wanayo.

Km vile una kawivu flani ivi.

Furaha yako Ni kuona watu hawachangii chochote basi ufurahi kwamba watu hawana magari.

Una mawazo ya kimaskinie.
Hehehehe[emoji23][emoji23][emoji23] Sawa mkuu
 
Ebana mimi siku moja nikiwa fuel station si nikakosea njia ya kutokea bana , nika pita katikati ya zile pipe /mashine zile za kiwekea mafuta.

Eh bwana eh kitu kikachubuka chubuka japo body haiku bonyea bonyea.
Mi bhana siku niko speed na v8 mara ghafla nikapishana na lori si ikabidi mimi mle ndani nikwepeshe kichwa (kama nakwepa ngumi)nikajikuta porini tyre zinazunguka hewani zote
 
matukio ni mengi ila hili ni mojawapo
gari ilikuwa imetoka kubadilishwa shockup pamoja na steering rack sasa haikufanyiwa wheel alignment kwa hy ukiwa sehemu barabara imenyooka ilikuwa ina vuta kushoto
sasa si nikajifanya mtabe nikaendelea kuliendesha gari hivo hivo pasipo kulifanyia wheel alignment kwa kipindi kirefu

sasa siku moja natoka tazara nataka nielekee buza kwa kupitia sokota kukatizia nuruyakini msikitini to mwembeyanga
nikiwa mwembeyanga nilijisahau kuna MTU alikuwa ananipigia simu sikupokea hadi simu ikakata sasa nikasema ngoja niachie sterling nichukue simu niangalie aliyenipigia na simu ilikuwa kwenye siti ya nyuma dah ilikuwa kosa nilishtuka kwa tairi ya gari ya mbele upande wa kushoto kupasuka baada ya gari kugonga mikokoteni pamoja na pikipiki mbili zilizokuwa mbele kwa kweli siwezi kusahau

hapo ndo nilipojua kuwa kumbe hii slogan ni ya muhimu
Driving + Phone= Accident
 
Back
Top Bottom