Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Duh hatar nilichukua gar ya cousin wangu Sjui kitu balaa niliponda mbele nusu niingie chooni nikapaniki nikaiponda nyuma dah nikaisi Niko naota ndoti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza Kukuta kwa huo uzembe wako bodaboda kakatwa mguu ni kilema na hawezi tena kuendesha boda yake [emoji1787][emoji1787]Mimi niliunga kama naenda mwananyamala ile barabara ya mwinjuma. Hata sijui hatma yake japo siku kadhaa niliulizia pale hakuna anayekumbuka hilo tukio so nadhani hakufa.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe traffic wako sahihi kushauri kutovaa hizo sendoz au kandambilikuendesha nikiwa nimevaa sendo ya masai ya kuchomeka, ikateleza nyuma wakati nataka kufunga breki,nikalamba ukuta, nilijilaumu bora ningeendesha peku
Huyo mwenye Nissan ni boya sanaa kwann asinge slow down na kupaki kushoto kwake anhekuacha ww umalize salama ..View attachment 2183189
Namfukuza Ranger.. Ameshaingia kwenye radar yangu.. Kumbe kuna Lorry mbili kati.. Nikahisi ninaweza kuzimaliza.. Aisee Lorry la kwanza limeisha naona TD42 Civilian inapanda.. Breki nimeshachelewa nitagusa Lorry.. Ikabidi nidownshift gear niingie pembeni..!uzembe..
MUNGU ni mwema..!
Makosa yalikuwa yangu.. Pia hiyo Ranger iliblock vision yetu.. Mimi sikumuona na yeye hakuniona.. Tumekuja kuhamaki baada ya Ranger kurudi lane yake..!Huyo mwenye Nissan ni boya sanaa kwann asinge slow down na kupaki kushoto kwake anhekuacha ww umalize salama ..
Maana nyuma ya nissan hakukuwa na hatari yoyote ya gari
Pale studio kinondoni nikaunga kumbe taa zimeruhusu magari yanayonyoosha likiwemo mwendokasi. Pale kwenye ile njia ya kwenda mwananyamala.
Nilikanyaga mafuta sana sasa kumbe bodaboda kachomoka. Alijibamiza kwenye gari akaenda chini na mimi nikaunganisha spidi. Ilinitoka hela ya maana kurekebisha mlango uliopondwa.
Hahahaha 😂😂😂😂🤣 nimecheka sanaaaaa!!! Jinsi ulivyoingia CHA KIKE...kwahiyo ulivyogusa upande WA kushoto uliwasha taa au?.Me mwaka 2020 hapo nipo na gari jipya (kwangu jipya), sasa nikaona ngoja nilionje maana speed 260 wapi hapa Dar nitaitest, nikaenda Tanga kupitia Bagamoyo.
Baada ya siku mbili nikarudi. Sasa njiani nikasema ngoja nijaribu kupiga kibati hadi mwisho. Mvua ilikua imetoka kunyesha barabara ina madimbwi dimbwi ya maji.
Nikatafuta mahali njia imenyooka. Bwana nikakoleza kibati hadi 200 hivi. Kwa bahati mbaya nikapishana na Roli kubwa sasa ile likarusha maji yakajaa kwenye kioo cha mbele.
Ile kupanic nikataka kuwasha wiper zipunguze maji, sasa hapo nimetoka kutumia gari la Toyota nimehamia Mjerumani, aisee Toyota wipers zipo kushoto hafu taa kulia, mjerumani kinyume chake, dah aisee nilipanic sioni kitu mbele hafu nipo kibati mbaya.
Nashukuru Mungu njia ilikua imenyooka na haina magari zaidi ya ilo roli tuliopishana. Ilipokuja kukubali wipers nilirudisha speed maximum 80 aisee.
Ila barabara zetu Tanzania sio rafiki kabisaa sometimes ni MUNGU Tu anatulinda na ajaliNa matukio mengi ila hili ni la kwanza, nilikua na week toka ninunue chuma. Nilikua bado na ule ulena sasa bhana unajua ukiwa na chuma kipya unakua na mapepe flani hv unaona kama foleni unachelewa hapo ushaanza kujua ku overtake kutembea na gari 100+ kwako ndo ujanja.
Sasa nilikua shekilango road napanda kutokea ustawi chuo pale niko spidi sasa pale mataa ya africa sana nikaona kijani ina count ipo 3 nikasema hapa nakanyaga wese niwai mataa aisee nikafanikiwa pita niko spidi balaa
kwa mbele ya mataa kama mita 50’hivi kuna tuta na nilikua sina hiyo idea kama kuna tuta aisee niko spidi balaa kufika pale nashtuka tuta hili break ikafeli aisee nilipaaa kama niko kwenye ndege nilibamiza gari sana kutua ikabd niingie kituon baada ya lile tuta. Nadhani mmepata picha lile tuta lilivyo kubwa.
Nashukuru Mungu gari ilikua salama sikuharibu chochote ilibd daladala aliyekuwa nyuma yangu ashuke kuniangalia alihis nimelewa lile tuta bila shaka wahanga ni wengi sana usiku huwa halionekani sana.
Ndugu yangu kama huku pembeni kungekuwa na mtaro pengine Leo usingekuwepo duniani yaani hapa ni MUNGU TuView attachment 2183189
Namfukuza Ranger.. Ameshaingia kwenye radar yangu.. Kumbe kuna Lorry mbili kati.. Nikahisi ninaweza kuzimaliza.. Aisee Lorry la kwanza limeisha naona TD42 Civilian inapanda.. Breki nimeshachelewa nitagusa Lorry.. Ikabidi nidownshift gear niingie pembeni..!uzembe..
MUNGU ni mwema..!
Aisee ni hatari.. MUNGU anatulinda kweli kweli..!Ndugu yangu kama huku pembeni kungekuwa na mtaro pengine Leo usingekuwepo duniani yaani hapa ni MUNGU Tu
Ila jua mada iliyopo, inahusu mkasa ukiwa na gari, siyo ukiwa na gari kubwa.Muwe mnataja na aina ya gari..mana utakuta mwenye ki baby Walker naye anajitutumua.
#MaendeleoHayanaChama
Bahati mbaya woga nliacha tumboni mwa mama, nina roho ngumu kuliko jiwe
Me mwaka 2020 hapo nipo na gari jipya (kwangu jipya), sasa nikaona ngoja nilionje maana speed 260 wapi hapa Dar nitaitest, nikaenda Tanga kupitia Bagamoyo.
Baada ya siku mbili nikarudi. Sasa njiani nikasema ngoja nijaribu kupiga kibati hadi mwisho. Mvua ilikua imetoka kunyesha barabara ina madimbwi dimbwi ya maji.
Nikatafuta mahali njia imenyooka. Bwana nikakoleza kibati hadi 200 hivi. Kwa bahati mbaya nikapishana na Roli kubwa sasa ile likarusha maji yakajaa kwenye kioo cha mbele.
Ile kupanic nikataka kuwasha wiper zipunguze maji, sasa hapo nimetoka kutumia gari la Toyota nimehamia Mjerumani, aisee Toyota wipers zipo kushoto hafu taa kulia, mjerumani kinyume chake, dah aisee nilipanic sioni kitu mbele hafu nipo kibati mbaya.
Nashukuru Mungu njia ilikua imenyooka na haina magari zaidi ya ilo roli tuliopishana. Ilipokuja kukubali wipers nilirudisha speed maximum 80 aisee.
Ku over take kwenye mteremko barabara ya vumbi.
Kokoto zilinivuta pembeni nolishtukia niko porini.
Nilikoma kabisaAiseeew hii kitu mbaya mtu asije akajaribu.
Pole sana.
Aiseeee pole mkuuu.View attachment 2183189
Namfukuza Ranger.. Ameshaingia kwenye radar yangu.. Kumbe kuna Lorry mbili kati.. Nikahisi ninaweza kuzimaliza.. Aisee Lorry la kwanza limeisha naona TD42 Civilian inapanda.. Breki nimeshachelewa nitagusa Lorry.. Ikabidi nidownshift gear niingie pembeni..!uzembe..
MUNGU ni mwema..!