dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Kutopiga dawa mbao kabla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh, pole sana kwa usumbufu huo.nilivyo uziwa sikua nagari.nikajenga nikamaliza nanjia yakuingilia nakutokea ilikuwepo kwasababu wakati waujenzi gari yavifaa ilikuwa inaingia Hadi site.sasa nimehamia nikakaa miezi6 nikanunua gari Alie niuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara yatofari sehemu ninayo pita kiasi chakubakisha kichochoro chawapita kwamiguu.nikampeleka kwamjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa sikuchache ana panda tena.nikaona Bora niuze nikajenga sehem salama yenye majirani wanao jielewa sio yule chawivu anaetamani kilamtu atembee kwamguu
Ni kweliKama utatumika vizuri bila jokes utasaidia wengi
Viwili bila jiko wala stoo mkuu, sio?[emoji848]Kujenga nyumba ya vyumba viwili tu..
Vyumba viwili..cha master na Cha wa watoto..Bila jiko wala stoo..yaani najuta japo nilikuwa nilikuwa nabana matumizi kipindi najenga..Viwili bila jiko wala stoo mkuu, sio?[emoji848]
Hii kitu najuta sana yani sana hapa nimebidi nifukuze fundi nimeleta mwingine arekebishe makosaKumuacha fundi afanye kazi ukiwa haupo. Aliniharibia design ya paa la nyumba.
Basement Bongo ya nini wakati kuna minafasi kibao.. Ujenzi ukishaanza chimba tuu chini gharama ni mara 3 au 4 hesabu zake ni kaliKujenga basement najuta sana
Afadhali kwako umeweza kurekebisha. Mimi nimeamua kukubaliana na matokeo maana siwezi kufumua paa nianze upya.Hii kitu najuta sana yani sana hapa nimebidi nifukuze fundi nimeleta mwingine arekebishe makosa
Usisikitike mwite fundi abomoe akutengenezee system ya kukaa chap tu..Kujenga choo cha shimo ndani ya nyumba[emoji17]
Watu wa namna hiyo huwa wachawi. Na mimi Kuna mmoja nakabiliana nae site moja hivi ila nilishamuueleza na ndugu zake kuwa Mimi ni kiboko ya wajinga km wao. Haiwezekani umuuzie mtu kiwanja na kumuonesha njia atakayokuwa anapita, then ghafla kwa sababu ya wivu na ushirikina wako baadae unaziba njia.Nilivyo uziwa sikua nagari.nikajenga nikamaliza nanjia yakuingilia nakutokea ilikuwepo kwasababu wakati waujenzi gari yavifaa ilikuwa inaingia Hadi site.sasa nimehamia nikakaa miezi6 nikanunua gari Alie niuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara yatofari sehemu ninayo pita kiasi chakubakisha kichochoro chawapita kwamiguu.nikampeleka kwamjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa sikuchache ana panda tena.nikaona Bora niuze nikajenga sehem salama yenye majirani wanao jielewa sio yule chawivu anaetamani kilamtu atembee kwamguu
Mkuu Mimi ninahasira zakaribu namtu mwenyewe nimwana mke.bora kushindana namwanaume mwenzako kuliko mwana mke.unaweza kupiga mtu kofi ukaumiza ukajikuta uko kituoni..Watu wa namna hiyo huwa wachawi. Na mimi Kuna mmoja nakabiliana nae site moja hivi ila nilishamuueleza na ndugu zake kuwa Mimi ni kiboko ya wajinga km wao. Haiwezekani umuuzie mtu kiwanja na kumuonesha njia atakayokuwa anapita, then ghafla kwa sababu ya wivu na ushirikina wako baadae unaziba njia.
Kuuza site/nyumba kwa sababu za wajinga km hao ni uzembe. Mimi Sina mpango wa kuishi hapo leo wala kesho ila muda ukifika watanielewa tu. Mwakani tu nitaenda kuwaonesha show ya kiutu uzima.
Huwezi kuishi kwa kumuogopa mwanadamu mwenzio, na bahati mbaya tu nipo mbali ningewanyoosha.
Bila shaka mavyumba makubwa sanaKujenga Nyumba kubwa kwa nje lkn ina vyumba vitatu tuu
Unaandika hata uliloliona kwa mtu... kama mimi nilivyofanyaSijafanya kosa lolote maana bado sijajenga [emoji276]