Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnoo afu sio self ila moja tuu ndio master hadi kero
Hata mimi anaenifanyia ujinga huo ni mwanamke akishirikiana na kaka zake wanaoishi mbali kidogo na site kwangu. Ila huyo mama ndo anaishi jirani na waliponiizia. Alafu ujue hawa akina mama baadhi yao hujiona sana na wanadharau sana kulingana na haki zao wanazolilia. Mimi ndugu yangu hunishindi kwa ghadhabu na maamuzi magumu, na hapo tu site kuna jiran alijenga fensi akaingilia na kuminya njia, nilipopata nafasi ya kwenda nikamuueleza akaleta nyodo, nilimuakia na kidogo nimuwashe vibao na tangia hapo heshima 100%. Hadi aliwaeleza na ndugu zangu walipoenda kutembelea site, muda huo mi nilishasepa huko na bahati nzuri hatufahamiani nao vizuri, wananijua kijuu juu tu. Ukiishi na majirani wasio na uelewa ni kero kubwa, ila mimi hizo kero ndo huwa nataka ili niwafundishe jinsi ya kuishi na watu.mkuu Mimi ninahasira zakaribu namtu mwenyewe nimwana mke.bora kushindana namwanaume mwenzako kuliko mwana mke.unaweza kupiga mtu kofi ukaumiza ukajikuta uko kituoni..
Mkuu Naomba ramani PMKujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
Mkuu Naomba ramani PM
Sasa boss kama mavyumba makubwa si utafute fundi urekebishe, uweke zote selfMnoo afu sio self ila moja tuu ndio master hadi kero
Kutoweka wiring system ya solar! Mnaojenga saivi hili nalo mlitizame..
Nieleweshe vizuri zaidi mkuu!!hakuna haja ya kuwa na wiring mbili, wiring ni moja tuu, ila cha msingi kuwa na Distribution board 2 au kuwa na maiswitch mbili, hata siku ukifunga solar unatumia.
Kumuingiza mke asiestahili heshima ya nyumba yanguHabari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Ndio maana mimi nyumba yangu ina rooms 2 tu. Na appartments zingine 2. Hata plan yangu ya kudumu itakuwa hivyo. Watoto wakihama nimezeeka napangisha vijana wastaraabu kunitia jotoMnaejenga mijumba mikubwa mjitafakari mambo yamebadilika siku hizi hakuna kutembeleana ovyo wala kuishi kwa ndugu kama zamani na watoto wakikua wanakimbilia sehemu nyingine kutafuta maisha ,kwahiyo utabaki na jumba kubwa kama msikiti peke yako
Uzi mzuri sana huu🤝