green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Mkuu hakijaribika kitu watoto wakihama napangisha mabinti wazuri wapate kunifanyia masajiMnaejenga mijumba mikubwa mjitafakari mambo yamebadilika siku hizi hakuna kutembeleana ovyo wala kuishi kwa ndugu kama zamani na watoto wakikua wanakimbilia sehemu nyingine kutafuta maisha ,kwahiyo utabaki na jumba kubwa kama msikiti peke yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa nje kali ndani muembeKujenga nyumba bati kufichilia ndani(hidden roof) kwakweli maisha yamekuwa ya wasiwasi kipindi hiki cha mvua nakaa ndani utafikiri nimejificha chini ya mwembe.
Nimekuelewa sana hapa mkuuYes lakini pia licha ya uwezo tuweke pia provision ya kuweka hivyo vifaa hata kama kwa sasa hela huna. Mfano unajenga bafu basi weka provision ya heater au vyumbani weka provision ya AC, sio siku unapata hela ndio unaanza kuvunja tiles na kuta ili upitishe nyaya.
Mie nimeweka mpk pipes za internet ndani maana huwezijua kuna siku unaweza kuta zitahitajika halafu kwako kukaonekana kituko.
Hongera sana mkuu, ni nyumba very spacious with all important modern ammenities. Pambana iishe. Kiukweli napenda nyumba sampuli yako in size.299.2sqm
Karibu na asante kunitia moyo... nawe nakuombea kwa Mungu akupe kwa kadri ya matamanio yako.Hongera sana mkuu, ni nyumba very spacious with all important modern ammenities. Pambana iishe. Kiukweli napenda nyumba sampuli yako in size.
Wewe ndo mshamba kwa kuona uchaguzi wa wenzako wa kishamba wako ndo bora zaidi.Nimegundua watu wengi wanajenga ili wasifiwe na walala hoi bila kujali hasa mtu anahitaji nini hasa!,nasema ni ushamba na ulimbukeni ndio unasumbua raia wengi!
Jenga nyumba ndogo nzuri mambo ya kujenga sqm 200 tuwaachie serikali wajenge shule sio nyumba za kuishi
Huo ukuta mrefu jee umekuwa reinforced (kuwekewa beam) katikati? Ukiwa umejengwa kwa tofali tu tena kwenye slope kuna hatari ya kuja kuanguka pale utakapoelemewa kidogo tu, na hasa kipindi cha mvua.Kuna fundi kanijenge nyumba nikiiangalia siiamini, kuna ukuta mmoja mrefu balaa,
Usipate homa kuna kipindi utapigwa tu, kijanja janja.Though sijawahi kuwa na nyumba wala kujenga ila kosa ambalo siwezi kufanya ni kuachia upenyo wowote, nitajipanga vizuri na hela yao yote cash na nitakuwa nao site kufuatilia kila hatua huku nikiwa na nguo za kazi ikibidi kusaidiana nao kabisa.
Na wageni wapitanjia watakwenda wapi ikitokea dharura?Kila mtu amalize haja zake chumbani kwake,
Kuna ubaya
Sqm 200 ndiyo kubwa? Nyumba ikiwa haina nafasi sana inakuchosha mapema kuishi.Jenga nyumba ndogo nzuri mambo ya kujenga sqm 200 tuwaachie serikali wajenge shule sio nyumba za kuishi
Uzuri wa umasikini ni mnyororo mgumu sana kuukata.Nimegundua watu wengi wanajenga ili wasifiwe na walala hoi bila kujali hasa mtu anahitaji nini hasa!,nasema ni ushamba na ulimbukeni ndio unasumbua raia wengi!
Jenga nyumba ndogo nzuri mambo ya kujenga sqm 200 tuwaachie serikali wajenge shule sio nyumba za kuishi
Halafu mchwa walivyo na tabia mbaya wanatafuna ndani kwa ndani siku ya siku unashtukia unagusa ubao unabonyeaKujenga nyumba kwenye ardhi yenye kichunguu bila kutreat udongo au msingi wake na madawa ya kuua na kutokomeza kabisa mchwa, matokeo yake pamoja na kuweka tiles full lakini mchwa wanapenya kwenye vishimo na wanajenga ndani mixer kula mpaka vitanda na masofa ukishtuka na kuziba unakuta sehemu nyingine wanaibuka, na kwenye milango ndio kabisa frame ya mlango zinatafunwa ndani kwa ndani kama mikate,
sipati picha wakipenya ndani kwa ndani kwenye kuta na wafike juu darini, naogopa ipo siku gypusm board litanishukia maana wana njaa hao, kuna siku nilichelewa kusogeza kochi nikakuta wamelitafuna mpaka basi[emoji26]
🤣🤣🤣🤣🤣Kujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
Wewe mangi uandishi wako raha sana...sio kufunja ni KUVUNJA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa jirani yangu Dodoma Kuna jmaa anafunja nyumba yake kwani alimpa fundi kila kitu ili yeye aje achukue funguo tu nyumba ikisha jamaaa kufika kuchukua fungu akakuta sebule Ni ndogo kuliko choo na jiko Ni kubwa kuliko master
Na nyumba ikisha pauliwa kila kitu na kupigwa plaster
Hasra aliyopata hatokah hasau jamaa amemua kufunja baadh ya kuta na room ili kubalance ukubwa wa sebule iliyo ndogo Kama choo na choo kiko kikbwa kuliko sebule
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu kuna baadhi ya sehemu lazima ununue bidhaa bora ili kuepuka asala kubwa, frem ungejitaidi ungeweka za mbao ngumu ya mbuga na paa ungeweka mbao zenye dawa, kuna sehemu ukifika kwenye kujenga husimskmilize fundi na kufata ushauri wake ata kama hauna pesa bora utulie ujipange, kuna sehemu kwenye ujenzi ukinunu vitu vya bei chee tu lazima itakugharimu kama hapo kwenye frem na vitenda inaonekana umetumia mbao za viwango vya chini sana mpaka mchwa wanakula mbao, hiyo frem ingekuwa mninga mchwa wasinge jaribu kuusogelea wangepita mbali na kwenye fenicha pia.Kujenga nyumba kwenye ardhi yenye kichunguu bila kutreat udongo au msingi wake na madawa ya kuua na kutokomeza kabisa mchwa, matokeo yake pamoja na kuweka tiles full lakini mchwa wanapenya kwenye vishimo na wanajenga ndani mixer kula mpaka vitanda na masofa ukishtuka na kuziba unakuta sehemu nyingine wanaibuka, na kwenye milango ndio kabisa frame ya mlango zinatafunwa ndani kwa ndani kama mikate,
sipati picha wakipenya ndani kwa ndani kwenye kuta na wafike juu darini, naogopa ipo siku gypusm board litanishukia maana wana njaa hao, kuna siku nilichelewa kusogeza kochi nikakuta wamelitafuna mpaka basi[emoji26]
Tatizo la vijana wasikuizi hawajui kutofautisha ya aina ya mbao wenyewe wananunua tu bila kufahamu hii frem ninaweka kwenye nyumba yangu je ni imara wadudu wanaiogopa, kuna aina ya mbao mdudu haisogelei miaka na miaka.Halafu mchwa walivyo na tabia mbaya wanatafuna ndani kwa ndani siku ya siku unashtukia unagusa ubao unabonyea
Wakati wa kuset na kuchora ramani kwenye kiwanja jitahidi sana uwepo siteNilimpa Fundi ramani akaanza (akaseti) msingi nikiwa sipo.
Kurudi nakuta nyumba ameisogeza sana nyuma. Means makaro ya choo na sehemu ya kuanikia vitabanana upenuni (pembeni). Wakati kama msingi angesogeza mbele hayo makaro (sewage) yangekaa nyuma.
Madai yake anaacha parking kwa mbele.