Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?


Linyumba likubwa hivi unapeleka wap boss!! Jenga nyumba y kawaida lakini iwe na vitu vya msingi na yenye muonekano mzuri bila kuacha nafasi ya garden na kufanya shughuli nyingine ndog ndog
 
Mume wangu kuweka siling board ina angusha chokaa, wakati wa ku-duu nikiangalia juu yaani kifo cha mende viuchafu vinaangukia machoni
Hapa Naona Tatizo ni Staili, Jaribu Kubadilisheni Staili na Uikatae Death of Cockroach [emoji3][emoji3]
 

Sasa apa uyo anae kuuzia ina Mana kazalisha kwa 4m plus Kwann aje akuuzie kwa 3m plus mkuu [emoji28]
 
fixed ukutani, imejengewa.
Inawezekana kutolewa sasa mpk saa za kutundika ukutani tutasema kosa la kiujenzi. Hapa tunaongelea vitu kama ukubwa wa chumba, kosa la kuweka madirisha madogo, kusahau kuweka stoo ya chakula n.k ila sasa Tv si unaondoa tu swahiba zile ni fittings tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…