Kasongo Yeyee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2019
- 281
- 406
Changamoto za siku hizi maboss wanawasilkza sana mafundi ndo maana mnpigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeh, shida ilikuwa Nini maana na mimi ndio plan yanguKuhamia nyumba kabla haijaisha
Changamoto Ni Nini?? Na Kuisha Kwa Nyumba Inategemea Ni Stage Ipi?? Je Ww Ulihamia Bila Kuweka Madirisha Au Bila Kuweka Paving Maana Zote Hapa NI NYUMBA Ambazo Hazijaisha Inategemea Na Mlengo La Mtu Na Mtu.Kuhamia nyumba kabla haijaisha
Niljenga nyumba kubwa kuzidi mahitaji wa familia yangu na uwezo wangu. Sebule kukwaa, jiko kubwaaa, dinning kubwaaa, stoo kubwaa na coridor kubwa mbele na na jikoni. mwaka wa 10 sasa nyumba haina finishing ya maana.
Mbaya zaidi nikaweka chumba kimoja tu kuwa self wakati vingine vyote vinne vya kulala vikitegemea bafu moja na choo kimoja. Ni makosa ambayo sitakaa niyafanye tena nikifanikiwa kukamata fyedhaa.
Umeenzi asili ya mwafrika. Hongera kwa kuishi kitamaduni zaidiKujenga choo cha shimo ndani ya nyumba😔
Shukuru Mungu utapata upepo mwepesi huku kwenye mabanda hewa nzito na upepo hamna wakutoshaKujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
kuweka TV chumbani hii imepunguza mapenzi mume wangu anaangalia mpira wakati mimi nipo hornyHabari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Mume wangu kuweka siling board ina angusha vipande-vya-chokaa, wakati wa ku-duu nikiangalia juu yaani kifo cha mende viuchafu vinaangukia machoniHabari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Hapa Naona Tatizo ni Staili, Jaribu Kubadilisheni Staili na Uikatae Death of Cockroach [emoji3][emoji3]Mume wangu kuweka siling board ina angusha chokaa, wakati wa ku-duu nikiangalia juu yaani kifo cha mende viuchafu vinaangukia machoni
Ni chumba kimoja
Ulitumia mashine ya umeme yenye mixer na vibrator au ile shindilia ya mkono (bambam)? Ulinunua au ulikodi?
Kuna gharama ya kununua mchanga, cement, vibao, maji ya kumwagilia, gharama ya kuwalipa wafyatua tofali, vibao vya tofali na gharama ya umeme kama utatumia vibrator na mixer
Ili utoe tofali 3000 kwa ratio ya 40 utahitaji cement mifuko 75 (cement 1@16,500)
●Mifuko 75@16,500= 1,237,500
Mchanga wa tofali 3000
●Mchanga mnene trip 2@400,000= 800,000 (FAW ton 20)
●Mchanga mlaini; Bagamoyo/Kibaha trip 1@350,000 (SCANIA mende)
Gharama za wapiga tofali (Mfuko 1@4000)
●Mifuko 75@4000=300,000
Kibao 1@1700
●Vibao 1000@1700=1,700,000
HADI HAPO TAYARI 4,387,500
SIJAHESABIA GHARAMA ZA KUKODI/KUNUNUA MASHINE, MAJI NA UMEME
UKINUNUA TOFALI 3000@1100 NI 3,300,000
NB: GHARAMA INATEGEMEA NA ENEO HUSIKA HIYO HESABU NI KWA MKOA WA DAR
Ulinzi Si Mtu Anapiga Uzio Mixer Security FENCE...
Hiyo ni initial capitalSasa apa uyo anae kuuzia ina Mana kazalisha kwa 4m plus Kwann aje akuuzie kwa 3m plus mkuu [emoji28]
Acheni kuua mende nyieMume wangu kuweka siling board ina angusha chokaa, wakati wa ku-duu nikiangalia juu yaani kifo cha mende viuchafu vinaangukia machoni
Hii sio issue ya ujenzi. TV ni kitu unaweza kukiondoa.kuweka TV chumbani hii imepunguza mapenzi mume wangu anaangalia mpira wakati mimi nipo horny
fixed ukutani, imejengewa.Hii sio issue ya ujenzi. TV ni kitu unaweza kukiondoa.
Imejengewa kama zile za bar?fixed ukutani, imejengewa.
Inawezekana kutolewa sasa mpk saa za kutundika ukutani tutasema kosa la kiujenzi. Hapa tunaongelea vitu kama ukubwa wa chumba, kosa la kuweka madirisha madogo, kusahau kuweka stoo ya chakula n.k ila sasa Tv si unaondoa tu swahiba zile ni fittings tufixed ukutani, imejengewa.