Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Msingi wangu nakumbuka ulikula 10M hadi boma linasimama ilikula 18M+ gharama zote za ufundi na material
 
Niliunganisha waya za speakers nyumba nzima niweke mtandao wa speakers ukutani, halafu nikaghairi.

Nilifanya second living room (morning room) isiwe na TV/ internet ports kwa kutaka iwe quiet room, halafu baadaye nikaghairi.

Somo.Fanya maamuzi ya wiring kwa uangalifu sana, mara nyingi ukiwa unajenga ndiyo wakati mzuri kabisa wa kufanya maamuzi ya wiring zote, ukishajenga unakuwa uashapoteza nafasi ya kufanya wiring vizuri.
 
Hongera sana mkuu,umepiga hatua kubwa mno.
 
Hii misingi yenu mnajengaje?
Mimi pia nimeshindwa kuelewa labda kila kitu wananunua, maji, mchanga, mafuta ya gari ya mchanga etc, ni vema kunimprovise eneo la bajeti na malipo ya vifaa vya ujenzi.
 
Kwamba huyo professional ndo anajenga?

Hujui hao huwa kazi yao kushika makaratasi tu?
 
Ahsante mkuu wangu, niliona kuanza na nyumba ya ndoto itanichukua muda wa kutosha.
Ni kweli mkuu na kama kipato siyo kikubwa unaweza kujikuta unakata tamaa. Uzuri wa nyumba ni kuijenga iishe mapema ili ule uzuri wake usipotee.
 
Jumla ya tofali umetumia ngap nyumba nzima mim Niko moro huku nanenane natarajia kujenga kama yako two rooms
 
Wakuu naomba msaada hii inshu mashimo sewage system ya vyoo yasiyojaa au wanasema hayana harufu sana. Haya mashimo ynayopigiwa pambio kila sehemu mitandaoni. Naomba experience ya aliyejenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…