Mworia's Inc
Member
- Apr 6, 2014
- 8
- 6
Mzee hapa mbona ulilikoroga mwenyewe mapema tu...yani Ghorofa la vyumba 6 na watoto ni wakubwa uko serious au umeandika tu kuchangia mada?..Kujenga GOBA ghorofa ambalo lina vyumba 6 , nina watoto wanne na wote wapo. chuo, wakifunga wanaenda kwao, nyumba imebaki ukiwa, tunalala vyumba vya chini na ghorofani analala dada wa kazi na kaka wa kazi.
#Vijana jengeni nyumba za kawaida, vyumba viwili tu#
Kabla ya kuanza ujenzi uwe na BOQ kukadiria mahitaji yote muhimu. Kama utazingatia mahitaji yote kwa bei za soko utapata gharama ya nyumba. Linganisha gharama na uwezo wakoKujenga nyumba kubwa kuliko uwezo una define vipi hii? Utajuaje kama uko kwenye hii spot?
😂😂😂😂😂Kujenga contemporary.
Yule fundi msenge sana, alijifanya mtaalamu aliyeshindikana. Mataokeo yake mjengo mzuri halafu unavuja. Alivyo fala eti anasema labda ndugu hapo kijijini wanaroga nyumba. Nimempa laana kubwa.
😂😂😂😂😂. Najutia kwenda kujenga nyumba maeneo ya karibu na bagamoyo kwa kudanganywa na awamu ya nne kuwa bandari itajengwa soon,bwana weee!! Tunajuta mpaka leo na washkaji zangu,nyumba ambazo zingekuwa maeneo ya karibu na tegeta tungekula kodi hadi laki tano kwa mwezi,
Sasaivi tunaambulia kodi ya laki na nusu eti nyumba nzima
ndio jambo ninalojutia, badala unipe moyo unazidi kushambulia.Mzee hapa mbona ulilikoroga mwenyewe mapema tu...yani Ghorofa la vyumba 6 na watoto ni wakubwa uko serious au umeandika tu kuchangia mada?..
Alafu unamwambia kijana wa miaka 25 - 30 ambaye hana hata mtoto ajenge vyumba viwili?
kivipi? mpe makavu achape lapa mwenyewe ushatimba in da hausikijana sijui namuamishaje
ShukuraniUsije ukatumia pesa yooote kwenye ujenzi ukakaa usubiri muijiza.
Kwa mfano una 2mil unataka uingiize kwenye ujenzi. Tumia 1.5 tu 500k iweke pembeni.
Au una 20 Mil. Weka 15mil kwenye jengo 5mil iweke pembeni. Utanielewa baadae
Baada ya miaka kadhaa lazima waondoe huo ushamba. Huwa napenda sana design ya majengo ya waroma sijui wamishenari, majengo yao huwa na simple design ya nje na ndani ila hata ipite miaka 100, jengo bado linabaki likivutia na paa zao hata si za mikunjo na miinuko mikali.Bora umenisaidia kusema. Yaani watanzania wananishangaza sana when it comes to Interior design.
Ni mwendo wa kujaza Ma-gypsum yenye konakona na Mataa taa ya rangi rangi. And they do the same thing kwenye panel ya tv (showcase)... Na wao ndio wanaona wamepatia yani!!!
Sebule/nyumba inakuwa "very busy" unnecessarily....
Utamaduni.Design za nyumba zetu bado sana, nadhani inachangiwa na uwezo wetu
Hilo tank la kutibu maji linakuwaje?.Hicho ndo nilikuwa naongelea.
Kuna nyumba ukiziona ni kubwa ila amejaza mavumba tu ndani ceiling fupi, master haina closet, vyoo vidogo.
Mtu ana ghorofa ila hakuna AC hata 1
Hana Laundry room na Washer n Dryer, Steamer
Hana water treatment tank
Nayo inaliwa fresh tu ndiyo maana huwa wanaitia oil.Hapana sio mitiki, mitiki haiwezi kuvumilia maji, miti ya nguzo za umeme milingoti,maana hainyonyi maji na imara
Nyumba yako sio kubwaNimejenga jumba kuubwa, sebule km kiwanja cha mpira, hlf vyumba ni vi 3 tu...
nawaza siku tukibaki 2(mimi na baba chanja), watoto wakipata maisha yao sijui tutaishi vipi.
Mkuu ingetotea saiv ndio unajenga ni nn kingine ungeonzea au kuounguza maana unamawazi kama yangu wiring ya data kwa Sasa Bora fibers au utpWiring inabidi uifikirie vizuri sana.
Nilisema kwamba sebule ya pili (morning room) itakuwa ya ukimya, haitakuwa na TV wala computer. Itakuwa ya vitabu, makochi, meza na kusoma.
Kwa hivyo sikufanya wiring yoyote ya LAN (RJ 45).
Fast forward nimemaliza kujenga, uhalisia wa kuishi, sebule hiyo imewekwa TV, All in One computer, several laptops, natamani ningekuwa nimeweka RJ45 ports.
Luckily the wireless router is pretty good.
Somo hapa, ni bora ukafanya wiring kama ya RJ 45, halafu usiihitaji, kuliko kutofanya halafu ukaihitaji.
Mambo yote ambayo unafanya mara moja tu kama wiring na plumbing ni muhimu kutumia muda sana.Mkuu ingetotea saiv ndio unajenga ni nn kingine ungeonzea au kuounguza maana unamawazi kama yangu wiring ya data kwa Sasa Bora fibers au utp
Shukurani sana mkuu najiandaa mwezi ujao na ujenzi wa kuunga unga.KOSA KUBWA AMBALO WAJENZI NA WAJENGEWA HUKIFANYA SIKU ZOTE;.
Ni kuharibu nyumba kuanzia kwenye msingi.
Nyumba sio chini ya 96% Tanzania, ujenzi wake umekosewa kuanzia msingi.
Msingi unatakiwa usiwe chini ya 60cm kutoka usawa wa Ardhi.
60cm ni sawa na laini 4 za tofali za nchi 6 au ngazi nne.
Kwani ni makosa kukosea msingi?
Unakosea msingi kwa mfano nyumba ikawa na laini 2 kutoka usawa wa ardhi;
1. Nyumba itapoteza uwiano kati ya msingi, boma na paa
2. Nyumba hukosa mvuto.
3. Mvua inaoonyesha matone yanayodondoka chini hurukia barazani au ukutani na kuharibu rangi.
4. Mara nyingi husababisha nyumba inakuwa fupi hivyo kuwa na joti kalu ndani.
...USHAURI;.Kabla hujaanza ujenzi pata ushauri wa kitalaam