Ochoa Real Estate
Member
- Sep 11, 2024
- 33
- 46
Ukabila ❌Kujenga katikati ya wazaramo [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukabila ❌Kujenga katikati ya wazaramo [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nilijua mambo haya ni Wahindi, Wachina na Wazungu tu kumbe hadi Watanzania wanayo kha!!!!Ukabila ❌
Kumuamini fundi na kumuachia kazi wakati nimi niko mbali😭😭Habari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Huo nao ni mtihani mkubwa. Maana wakati unajenga huna gari/usafiri baadae ndio unanunua gari halafu gari unaomba kulaza kwa jiraniKujenga sehemu ambayo ukiwa na usafiri kutoka, kuingia na parking ni shida.
Nimeuza nyumba nikajenga sehemu nyingine.
How Hakuna wapangaji?Kujenga ma nyumba ya kupangisha tena mikoani badala ya Lodge au Guest house
Mafundi wameniingiza chaka kwenye hili mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]. Nimepigwa na kitu kizito sanaaaKujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
MkuuuKujenga choo cha shimo ndani ya nyumba[emoji17]
Shukrani sanaa mkuuu. Umenisanuaaa hapaKutoweka wiring system ya solar! Mnaojenga saivi hili nalo mlitizame..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Vyoo vitatu kwenye nyumba moja kuna mashindano ya kwenda haja?[emoji276]
Eleza wamekuingiza vipi chakaMafundi wameniingiza chaka kwenye hili mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]. Nimepigwa na kitu kizito sanaaa
Mlingoti hamna kitu,mchwa wanatafuna Kama biscuit.Labda mti wa mlingoti,maana ni mgumu balaa,ile miti ya nguzo za umeme,
mchwa nuksi kabisa,sijui wanafaida gani hadi Mungu aliwaumba mchwa na kunguru
Uzi mzuriUsisikitike mwite fundi abomoe akutengenezee system ya kukaa chap tu..
Na makelele yao yanasikika ukiwa hauko mutesijui kama nimekosea au lah ila study room kuiweka karibu na chumba cha watoto naona kama jau, ningeweza ningeiweka sehemu neutral kabisa.....hizi working from home madogo wanasikia kila kitu nikiongea....
Unaendeleaje na kuvujiwa mkuu?Tupo pamoja hapo dege, soon naanza kushusha contemporary yangu
Kifo cha nini?Mume wangu kuweka siling board ina angusha vipande-vya-chokaa, wakati wa ku-duu nikiangalia juu yaani kifo cha mende viuchafu vinaangukia machoni