Toa maelezo ya kina mkuu, maana mimi fundi alisema ni lazima kufanya wiring ya solar, hapa naambiwa wiring ni moja niweka inverter tu karibu na main switch(?), nikipatq mda nitakaa nisome hii kitu niielewe, ila unaweza toa ABCs kidogo.Ukitaka maisha yasiokua na mawazo tumia wiring mbili kwenye nyumba.
hii kujenga na hela za kubangaiza ndo inasababisha yote ukijipanga kujenga ukapata hela ya gharama zote unajiwekea kabisa huu mwezi nachukua likizo ya kazi nakuwa muda wangu nautumia site, hadi kumi na mbili jioniKushinda site ni muhimu sana mkuu
Mafundi wengine wanaenda nje kabisa ya makubaliano,, anaamua kukujengea atakavyo yeye kama anajenga kibanda cha kuku nyumbani kwake.
kufanya wiring mbili ni nzuri zaidi, Bomba ni moja ila zinapitisha wires za Tanesco na hizo za Solar! Inapendeza zaidiToa maelezo ya kina mkuu, maana mimi fundi alisema ni lazima kufanya wiring ya solar, hapa naambiwa wiring ni moja niweka inverter tu karibu na main switch(?), nikipatq mda nitakaa nisome hii kitu niielewe, ila unaweza toa ABCs kidogo.
Kabisahii kujenga na hela za kubangaiza ndo inasababisha yote ukijipanga kujenga ukapata hela ya gharama zote unajiwekea kabisa huu mwezi nachukua likizo ya kazi nakuwa muda wangu nautumia site, hadi kumi na mbili jioni
Ilibakia kidogo niingie huu msala. Fundi alinitamanisha Kwa kuwa tofali za msingi zillingia nyingi sana so Kwa ndani chooni kulikuwa na shimo kubwaKujenga choo cha shimo ndani ya nyumba[emoji17]
Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni fekiToa maelezo ya kina mkuu, maana mimi fundi alisema ni lazima kufanya wiring ya solar, hapa naambiwa wiring ni moja niweka inverter tu karibu na main switch(?), nikipatq mda nitakaa nisome hii kitu niielewe, ila unaweza toa ABCs kidogo.
Hapo Ugweno hapo! Harikaa!Blaza blaza vyumba vingine vya ndugu kutoka kishimundu na ugweno. Au tukija utatulaza guest ??
Hahaha ndugu wanaenda kulala guest!Blaza blaza vyumba vingine vya ndugu kutoka kishimundu na ugweno. Au tukija utatulaza guest ??
Na pipe moja ya akiba. Mfano umeweka camera au internetKutoweka wiring system ya solar! Mnaojenga saivi hili nalo mlitizame..
Ushamba wamsumbuaVyoo vitatu kwenye nyumba moja kuna mashindano ya kwenda haja?[emoji276]
Umeme ni bora mara 100 ya SolarUkipata mzigo funga system nzuri ya solar, ambayo utakuwa unaitumia kuliko umeme wa tanesco, japo gharama yake huenda ikawa kubwa ila utaokoa pesa nyingi kwa baadae.
Ni kweli haitoshi, lakini kwa jinsi ambavyo umeme wetu haueleweki, ukiweka hiyo 1000W walau kila chumba kinawaka taa, sebule zinawaka taa mona moja, hata tanesco wakikata siku nzima una uhakika wa mwanga.Umeme ni bora mara 100 ya Solar
Solar ni kwa vijijini na dharura
Solar ya watts 1000 haiwezi tosha nyumba nzima kama una vifaa vya umeme vingi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hiyo nilikumbuka,Na pipe moja ya akiba. Mfano umeweka camera au internet
Inatosha ila kwa nyumba za muda huuNi kweli haitoshi, lakini kwa jinsi ambavyo umeme wetu haueleweki, ukiweka hiyo 1000W walau kila chumba kinawaka taa, sebule zinawaka taa mona moja, hata tanesco wakikata siku nzima una uhakika wa mwanga.
Heater weka ya solarHiyo nilikumbuka,
1. Pipes kwa ajili ya TV cable
2. Pipe wa ajili ya internet.
3. Systems za ac(hata kama leo sina uwezo ila iwepo tu)
4. System za heater(hata kama leo sina uwezo)
Nilichofanya sasa hivi nimenunua kiwanja hadi na njia ya kunipeleka main road...Nilivyo uziwa sikua nagari.nikajenga nikamaliza nanjia yakuingilia nakutokea ilikuwepo kwasababu wakati waujenzi gari yavifaa ilikuwa inaingia Hadi site.sasa nimehamia nikakaa miezi6 nikanunua gari Alie niuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara yatofari sehemu ninayo pita kiasi chakubakisha kichochoro chawapita kwamiguu.nikampeleka kwamjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa sikuchache ana panda tena.nikaona Bora niuze nikajenga sehem salama yenye majirani wanao jielewa sio yule chawivu anaetamani kilamtu atembee kwamguu
umefanya vizuri.Nilichofanya sasa hivi nimenunua kiwanja hadi na njia ya kunipeleka main road...
haikua njia nimenunua in terms ya viwanja vya 5 kwa 10, nikaenda mbele tena nkakuta 5 kwa 15 nikaenda hvyo hvyo hadi cha kule mbele kilikua na 10 kwa 12 ... vyote hvyo si vya kujenga kitu ila n njia yangu ya kupita na kutoka na gari, Hajengi KIMA yoyote wala otesha mti nyau yoyote yule.
na hamna anaejua nmevnunua viwe njia wote wanajua n viwanja ntakuja jenga mabanda ya kuku.