Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ukitaka maisha yasiokua na mawazo tumia wiring mbili kwenye nyumba.
Toa maelezo ya kina mkuu, maana mimi fundi alisema ni lazima kufanya wiring ya solar, hapa naambiwa wiring ni moja niweka inverter tu karibu na main switch(?), nikipatq mda nitakaa nisome hii kitu niielewe, ila unaweza toa ABCs kidogo.
 
Kushinda site ni muhimu sana mkuu
Mafundi wengine wanaenda nje kabisa ya makubaliano,, anaamua kukujengea atakavyo yeye kama anajenga kibanda cha kuku nyumbani kwake.
hii kujenga na hela za kubangaiza ndo inasababisha yote ukijipanga kujenga ukapata hela ya gharama zote unajiwekea kabisa huu mwezi nachukua likizo ya kazi nakuwa muda wangu nautumia site, hadi kumi na mbili jioni
 
Toa maelezo ya kina mkuu, maana mimi fundi alisema ni lazima kufanya wiring ya solar, hapa naambiwa wiring ni moja niweka inverter tu karibu na main switch(?), nikipatq mda nitakaa nisome hii kitu niielewe, ila unaweza toa ABCs kidogo.
kufanya wiring mbili ni nzuri zaidi, Bomba ni moja ila zinapitisha wires za Tanesco na hizo za Solar! Inapendeza zaidi
 
hii kujenga na hela za kubangaiza ndo inasababisha yote ukijipanga kujenga ukapata hela ya gharama zote unajiwekea kabisa huu mwezi nachukua likizo ya kazi nakuwa muda wangu nautumia site, hadi kumi na mbili jioni
Kabisa
 
Toa maelezo ya kina mkuu, maana mimi fundi alisema ni lazima kufanya wiring ya solar, hapa naambiwa wiring ni moja niweka inverter tu karibu na main switch(?), nikipatq mda nitakaa nisome hii kitu niielewe, ila unaweza toa ABCs kidogo.
Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni feki
 
Ukipata mzigo funga system nzuri ya solar, ambayo utakuwa unaitumia kuliko umeme wa tanesco, japo gharama yake huenda ikawa kubwa ila utaokoa pesa nyingi kwa baadae.
Umeme ni bora mara 100 ya Solar

Solar ni kwa vijijini na dharura

Solar ya watts 1000 haiwezi tosha nyumba nzima kama una vifaa vya umeme vingi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Umeme ni bora mara 100 ya Solar

Solar ni kwa vijijini na dharura

Solar ya watts 1000 haiwezi tosha nyumba nzima kama una vifaa vya umeme vingi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ni kweli haitoshi, lakini kwa jinsi ambavyo umeme wetu haueleweki, ukiweka hiyo 1000W walau kila chumba kinawaka taa, sebule zinawaka taa mona moja, hata tanesco wakikata siku nzima una uhakika wa mwanga.
 
Ni kweli haitoshi, lakini kwa jinsi ambavyo umeme wetu haueleweki, ukiweka hiyo 1000W walau kila chumba kinawaka taa, sebule zinawaka taa mona moja, hata tanesco wakikata siku nzima una uhakika wa mwanga.
Inatosha ila kwa nyumba za muda huu

AC
Dryer
Washer
Pump
Oven

Hapo unahitaji Solar kubwa tu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Zamani nilikua naona wanaoacha viwanja muda mrefu hawajengi kama wajinga flani hivi.

ila nimekuja gundua kuna maana kubwa sana ya kuacha kiherehere cha kuanza ujenzi kisa una pesa na unaweza.

Kile kiwanja nilinunua enzi ni pori la maana tu,haraka haraka kimbilia jenga..

Tangu zamani nilishasema sitowahi jenga uswahilini, ila sikua najua wanaojenga uswahili hawakuwahi waza kama patakuja kuwa uswahilini.

Baada ya ujenzi miaka kadhaa mbele ule mtaa haukua na tofauti na tandale, ule uswahili,vile vijumba vilivyokua vikichipuka kama uyoga nikajikuta nimewekwa mtu kati, nmezungukwa na vijumba vingiiiiiii...

Nikaona hapa Usintanie,Madalali kazi yao nini? Nikapauza kama palivyo.

Hela yote nimenunulia kiwanja sehemu nyingine, Sijengi ng'o mpaka nihakikishe ule mtaa ni wanaojielewa.

Ntapanga hivi hivi ila siwezi jenga mtaa ambao sina uhakika nawataokuja.

Hii mambo ya kuharakisha kujenga sehemu nyumba ya maana ndio unaweza jikuta unajenga mtaa kama kwa mtogole...

Baadae watoto wanakuuliza baba ilikuaje ukaja kujenga huu mtaa... Unakosa majibu.
 
Nilivyo uziwa sikua nagari.nikajenga nikamaliza nanjia yakuingilia nakutokea ilikuwepo kwasababu wakati waujenzi gari yavifaa ilikuwa inaingia Hadi site.sasa nimehamia nikakaa miezi6 nikanunua gari Alie niuzia tukaanza mgogoro mara apande miti sehemu ninayo pita mara aanzishe biashara yatofari sehemu ninayo pita kiasi chakubakisha kichochoro chawapita kwamiguu.nikampeleka kwamjumbe akaambiwa angoe miti yake akingoa sikuchache ana panda tena.nikaona Bora niuze nikajenga sehem salama yenye majirani wanao jielewa sio yule chawivu anaetamani kilamtu atembee kwamguu
Nilichofanya sasa hivi nimenunua kiwanja hadi na njia ya kunipeleka main road...

haikua njia nimenunua in terms ya viwanja vya 5 kwa 10, nikaenda mbele tena nkakuta 5 kwa 15 nikaenda hvyo hvyo hadi cha kule mbele kilikua na 10 kwa 12 ... vyote hvyo si vya kujenga kitu ila n njia yangu ya kupita na kutoka na gari, Hajengi KIMA yoyote wala otesha mti nyau yoyote yule.

na hamna anaejua nmevnunua viwe njia wote wanajua n viwanja ntakuja jenga mabanda ya kuku.
 
Nilichofanya sasa hivi nimenunua kiwanja hadi na njia ya kunipeleka main road...

haikua njia nimenunua in terms ya viwanja vya 5 kwa 10, nikaenda mbele tena nkakuta 5 kwa 15 nikaenda hvyo hvyo hadi cha kule mbele kilikua na 10 kwa 12 ... vyote hvyo si vya kujenga kitu ila n njia yangu ya kupita na kutoka na gari, Hajengi KIMA yoyote wala otesha mti nyau yoyote yule.

na hamna anaejua nmevnunua viwe njia wote wanajua n viwanja ntakuja jenga mabanda ya kuku.
umefanya vizuri.
 
Back
Top Bottom