wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Na utaishia kujengea nyumba ndotoni Kama unasubiri pesa zijae ndio uanze kujenga.hii kujenga na hela za kubangaiza ndo inasababisha yote ukijipanga kujenga ukapata hela ya gharama zote unajiwekea kabisa huu mwezi nachukua likizo ya kazi nakuwa muda wangu nautumia site, hadi kumi na mbili jioni
Kwa solar hivyo vyote sio vya muhimu, mwanga ndio wa muhimu!!Inatosha ila kwa nyumba za muda huu
AC
Dryer
Washer
Pump
Oven
Hapo unahitaji Solar kubwa tu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa sijui anaeongelea Maisha ya wabongo au Maisha ya kwenye movies?Kwa solar hivyo vyote sio vya muhimu, mwanga ndio wa muhimu!!
Hata hivyo sidhani kama wiring ya solar itakuwa so complex kama ya kawaida, hivyo waya unaoingia hauwezi kuwa mwingi sana . Asante kw maelezo mazuri mkuu.Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni feki
Kwani unaloa mkuu?Kujenga nyumba bati kufichilia ndani(hidden roof) kwakweli maisha yamekuwa ya wasiwasi kipindi hiki cha mvua nakaa ndani utafikiri nimejificha chini ya mwembe.
Na utaishia kujengea nyumba ndotoni Kama unasubiri pesa zijae ndio uanze kujenga
In short aweke change over switch au kama anaenda kidigital zaid aweke deep sea control panel na contactors, kwa mfumo huu kitu kinakuwa automatic, Tanesco ikikata solar inaunga automatically and vise versa! Mie hicho ndo lilichofanya kwangu!hakuna mantiki ya kuweka wiring mbili zaidi ya kuongeza gharama
kinachofanyika ni kuweka 'change over switch' ya kubadili tanesco-solar mle kwenye DB (lile box lenye mifyuzi) na kama solar yako ni Inverterless, hapo utakua unabadili taa, unatoa za AC unaweka za DC ,
kama ni solar ya Inverter hapo hutabadili taa, zaidi fundi ataunga njia zinakazolishwa na solar mle mle kwenye DB kulingana na pendekezo la mteja pindi anapohamisha tanesco to solar
Yaaan kunya nje?[emoji2957][emoji2][emoji2]Kujenga vyumba vinne bila kuwa na selfcontiner
Je mtu ambaye ameshafanya wiring anaweza akaongeza wiring ya pili?Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni feki
Maelezo yamejitosheleza sana mkuu!comment #98 imejibu vizuri, pasi, jiko na vifaa vyenye Watts Nyingi (300W au zaidi) ni msala kwa Solar ( japo kama uko vizuri kifedha inawezakana )
Solar hasa inahitaji vifaa laini (Watts Ndogo) kama taa, friji, TV, nk
ukiweka Inverter utatumia vifaa vyote vile vinavyoendeshwa na tenesco isipokua vile vikubwa pasi, jiko, nk
fundi anaweza weka udhibiti kwenye mfumo wa Solar ( mbele ya Inverter ), mathani fyuzi ambayo itakata pale mtu atakapochomeka vyombo vizito kama pasi kwenye soketi wakati mfumo wa Solar ukiwa unaopareti
kuhusu size ya mfumo weka vifaa ulivyonavyo, mie au mtu mwingine anawezasaidia pia
ila kwa ushauri tu juu ya tech ya vifaa (ni swala la ufanisi) nashauri hivi:
1. Solar Panel, chagua ya panel ya Mono badala ya Poly , soma zaidi hapa, bei zimechangamka
2. Charge Controller, chagua MPPT badala ya PWM, soma zaidi hapa , bei zimechangamka
3. Battery , wanasema zile za Minara ziko poa
3. Inverter, chagua yenye kutoa Pure Sine Wave, hii itaendesha vizuri ile vifaa vya umeme vyenye mota ndani kama friji, feni, mashine ya kunyolea, nk
uko sahihi, ukitaka hela zijae ndo ujenge hutajenga hata Msingi!Na utaishia kujengea nyumba ndotoni Kama unasubiri pesa zijae ndio uanze kujenga.
Imetokea kwangu pia anafany nirudie upya batiKumuacha fundi afanye kazi ukiwa haupo. Aliniharibia design ya paa la nyumba.
@witnessj Uko makini sana kwenye huu uzi... yamekukuta?Eeeheehe ukafanyaje sasa hapo?
Si shauri hivyo mkuu kutumia bomba moja la kupitisha nyaya za umeme tanesco na solar pamoja, weka tofauti kuepuka leakage/short cct.kufanya wiring mbili ni nzuri zaidi, Bomba ni moja ila zinapitisha wires za Tanesco na hizo za Solar! Inapendeza zaidi
Kuhusu hasara za solar kwenye kununua bettery mara kwa mara hii hutokana na kutokupata fundi mtaalamu wa solar au kuto kuzingatia masaa/ idadi ya vifaa ya umeme yaani umeme wa solar ni wa mahesabu kama kununua luku, ukiongeza vifaa au kuwasha hovyohovyo hivyo hivyo luku juu na kinyume chake!!Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni feki
Mkuu ukitaka maeneo mazuri nunua viwanja vilivyo pimwa na makampuni tena viwe na vipimo vikubwa, ukiwa unanunua tu viwanja kwa mtu ana kukatia eneo tu baada ya miaka 10 panakuwa mazenseZamani nilikua naona wanaoacha viwanja muda mrefu hawajengi kama wajinga flani hivi.
ila nimekuja gundua kuna maana kubwa sana ya kuacha kiherehere cha kuanza ujenzi kisa una pesa na unaweza.
Kile kiwanja nilinunua enzi ni pori la maana tu,haraka haraka kimbilia jenga..
Tangu zamani nilishasema sitowahi jenga uswahilini, ila sikua najua wanaojenga uswahili hawakuwahi waza kama patakuja kuwa uswahilini.
Baada ya ujenzi miaka kadhaa mbele ule mtaa haukua na tofauti na tandale, ule uswahili,vile vijumba vilivyokua vikichipuka kama uyoga nikajikuta nimewekwa mtu kati, nmezungukwa na vijumba vingiiiiiii...
Nikaona hapa Usintanie,Madalali kazi yao nini? Nikapauza kama palivyo.
Hela yote nimenunulia kiwanja sehemu nyingine, Sijengi ng'o mpaka nihakikishe ule mtaa ni wanaojielewa.
Ntapanga hivi hivi ila siwezi jenga mtaa ambao sina uhakika nawataokuja.
Hii mambo ya kuharakisha kujenga sehemu nyumba ya maana ndio unaweza jikuta unajenga mtaa kama kwa mtogole...
Baadae watoto wanakuuliza baba ilikuaje ukaja kujenga huu mtaa... Unakosa majibu.
NdioJe mtu ambaye ameshafanya wiring anaweza akaongeza wiring ya pili?
Hongera sana aisee, mimi nimekubali matokeoImetokea kwangu pia anafany nirudie upya bati