Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni feki
Hata hivyo sidhani kama wiring ya solar itakuwa so complex kama ya kawaida, hivyo waya unaoingia hauwezi kuwa mwingi sana . Asante kw maelezo mazuri mkuu.
 
hakuna mantiki ya kuweka wiring mbili zaidi ya kuongeza gharama

kinachofanyika ni kuweka 'change over switch' ya kubadili tanesco-solar mle kwenye DB (lile box lenye mifyuzi) na kama solar yako ni Inverterless, hapo utakua unabadili taa, unatoa za AC unaweka za DC ,

kama ni solar ya Inverter hapo hutabadili taa, zaidi fundi ataunga njia zinakazolishwa na solar mle mle kwenye DB kulingana na pendekezo la mteja pindi anapohamisha tanesco to solar
In short aweke change over switch au kama anaenda kidigital zaid aweke deep sea control panel na contactors, kwa mfumo huu kitu kinakuwa automatic, Tanesco ikikata solar inaunga automatically and vise versa! Mie hicho ndo lilichofanya kwangu!
 
Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni feki
Je mtu ambaye ameshafanya wiring anaweza akaongeza wiring ya pili?
 
comment #98 imejibu vizuri, pasi, jiko na vifaa vyenye Watts Nyingi (300W au zaidi) ni msala kwa Solar ( japo kama uko vizuri kifedha inawezakana )

Solar hasa inahitaji vifaa laini (Watts Ndogo) kama taa, friji, TV, nk

ukiweka Inverter utatumia vifaa vyote vile vinavyoendeshwa na tenesco isipokua vile vikubwa pasi, jiko, nk

fundi anaweza weka udhibiti kwenye mfumo wa Solar ( mbele ya Inverter ), mathani fyuzi ambayo itakata pale mtu atakapochomeka vyombo vizito kama pasi kwenye soketi wakati mfumo wa Solar ukiwa unaopareti

kuhusu size ya mfumo weka vifaa ulivyonavyo, mie au mtu mwingine anawezasaidia pia

ila kwa ushauri tu juu ya tech ya vifaa (ni swala la ufanisi) nashauri hivi:

1. Solar Panel, chagua ya panel ya Mono badala ya Poly , soma zaidi hapa, bei zimechangamka

2. Charge Controller, chagua MPPT badala ya PWM, soma zaidi hapa , bei zimechangamka

3. Battery , wanasema zile za Minara ziko poa

3. Inverter, chagua yenye kutoa Pure Sine Wave, hii itaendesha vizuri ile vifaa vya umeme vyenye mota ndani kama friji, feni, mashine ya kunyolea, nk



Maelezo yamejitosheleza sana mkuu!
 
kufanya wiring mbili ni nzuri zaidi, Bomba ni moja ila zinapitisha wires za Tanesco na hizo za Solar! Inapendeza zaidi
Si shauri hivyo mkuu kutumia bomba moja la kupitisha nyaya za umeme tanesco na solar pamoja, weka tofauti kuepuka leakage/short cct.
Kama uko vizur tumia inverter kubadili aina ya umeme au Two wiring kwa nyumba za wapangaji

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nimefunga wiring mbili. Hasara yake kuu ni kuongezeka bajeti ya waya na bulb ila vitu kama switch unanunua za twin ambazo hazitofautiani bei. Faida ni kubwa kwanza ni nzuri kwa kusev umeme, simple kwenye matumizi utakayo washa ndio itakayotumika, huna haja ya kuangalia kwa jirani kujua umeme umerudi ili kwenda kubadili change over switch, 100w panel na battery ya 50ah nyumba yote inawaka taa. Tahadhari Solar ni nzuri na rahisi (cheap)kama utatumia kwa taa na kuchaji vitu vidogo kama simu ila ukitaka ya kuwasha tv za A/C (umeme wa tanesco) itakulazimu kuwa na inverter na betri nzuri na pia ujiandae kubadili betri mara kwa mara coz betri nyingi kwenye soko ni feki
Kuhusu hasara za solar kwenye kununua bettery mara kwa mara hii hutokana na kutokupata fundi mtaalamu wa solar au kuto kuzingatia masaa/ idadi ya vifaa ya umeme yaani umeme wa solar ni wa mahesabu kama kununua luku, ukiongeza vifaa au kuwasha hovyohovyo hivyo hivyo luku juu na kinyume chake!!

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Zamani nilikua naona wanaoacha viwanja muda mrefu hawajengi kama wajinga flani hivi.

ila nimekuja gundua kuna maana kubwa sana ya kuacha kiherehere cha kuanza ujenzi kisa una pesa na unaweza.

Kile kiwanja nilinunua enzi ni pori la maana tu,haraka haraka kimbilia jenga..

Tangu zamani nilishasema sitowahi jenga uswahilini, ila sikua najua wanaojenga uswahili hawakuwahi waza kama patakuja kuwa uswahilini.

Baada ya ujenzi miaka kadhaa mbele ule mtaa haukua na tofauti na tandale, ule uswahili,vile vijumba vilivyokua vikichipuka kama uyoga nikajikuta nimewekwa mtu kati, nmezungukwa na vijumba vingiiiiiii...

Nikaona hapa Usintanie,Madalali kazi yao nini? Nikapauza kama palivyo.

Hela yote nimenunulia kiwanja sehemu nyingine, Sijengi ng'o mpaka nihakikishe ule mtaa ni wanaojielewa.

Ntapanga hivi hivi ila siwezi jenga mtaa ambao sina uhakika nawataokuja.

Hii mambo ya kuharakisha kujenga sehemu nyumba ya maana ndio unaweza jikuta unajenga mtaa kama kwa mtogole...

Baadae watoto wanakuuliza baba ilikuaje ukaja kujenga huu mtaa... Unakosa majibu.
Mkuu ukitaka maeneo mazuri nunua viwanja vilivyo pimwa na makampuni tena viwe na vipimo vikubwa, ukiwa unanunua tu viwanja kwa mtu ana kukatia eneo tu baada ya miaka 10 panakuwa mazense

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom