Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
Mtakodisha kwa wanaohitaji jumba kubwa, nyie mtapanga chumba kimoja bila sebule mlale na madiaba humohumo.Nimejenga jumba kuubwa, sebule km kiwanja cha mpira, hlf vyumba ni vi 3 tu...
nawaza siku tukibaki 2(mimi na baba chanja), watoto wakipata maisha yao sijui tutaishi vipi.