hapa ndipo kwenye changamoto hasa hivi viwanja visivyozidi 20mx20m ( vya bei ya kati )
kujua barabara ipo ni mpaka ukute pamejengwa hapo la sivyo utakua unapiga ramli, unaona bikon imeishia pale,
anakuja wa kuitwa jirani anan'goa, anajenga anazidi, au anajenga ukuta na unazidi, gari haiwezipiga kona tena
au anaweka tofali kwa mbele kidogo au , njia inazidi kua m'banano, nimeona sehemu kadhaa hii
jamaa ana bonge wa mjengo na mgeti wa ku-slide ila kwa mbele kapigwa pini kimtindo, matokeo yake gari haipiti/haiwezi piga kona, analaza CCM