Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Kwa wale wanaojenga gorofa nakup hii isikukute km ilivyonikut mim. Gorofa Huw ili litimie linahusisha fundi tofali Yan kujenga I mean . Fundi mbao. Fundi nondo na Engineer au msimamiz . Kamwe hiz kaz usimpe MTU mmoja Nd ukapatana nae fundi au jamaa Tu akakakwmbia Mie ninauzoef nitafny vyot au Nina watu we nilipe mim kila kit. USIFANYE HIVO KABS YAN. Yaliyonikut nimejifunza maan nilimpa kaz MTU mmoj mwsh WA siku kumb alikuw anawabana San wenzie inapelekea kaz haifanyw kw hark na kw ustaz Yan na kingn hat chin ya kiwng mwsh ikakutia hasar mar mbil
Asante kwa bandiko mkuu. Naomba kujua ghorofa yako slab ni msq ngapi na mchanganuo wa costs za nguzo, msingi na slab. Asante
 
Asante kwa bandiko mkuu. Naomba kujua ghorofa yako slab ni msq ngapi na mchanganuo wa costs za nguzo, msingi na slab. Asante
Aisee ni kubw ni Kam ni Kam 300 msq na point hiv Engineer alituwekea nguz nying San na zengn hazin hat sbb ya kuwekw nguz ni 28 au 29 Kam sikosei na foundation ilikul Zaid ya 26M na hapo Engineer alifany makos meng ambay yalifany garam ikaw kubw Zaid ya hapo .
Msingi tulichumb Mita Mita mbili kw Io izo nguz 28 au 29 zilianz chin kabis Hadi kwny ground level ikaw 28M na kutok ground floor Hadi slab yake ni 39M na kutok juu ya slab adi floor ya juu mpak saiv japo hatujafunik bado tunapumua
Aisee Gorof ni gharam San Mzee Kam Gorof yako kubw unayotak kujeng ni Bora ujenge ya kawaida Sisi tulifeli San mar ya kwnz tuliongea na MTU mmoj yey Nd akaw anafny kil kit Nd kafany garam imekuw kubw so nakushaur tafut Kil fund mwnyew na kubalian nae mwnyew .
Mfano saiv nilivyofik kwny First floor ilibid nifany hivo nikatafut fundi mbao akawek tofali then nikatafut fundi chuma akafuma nikatafut fundi mabao akawek marine body nikatafut wamwag zege nikawalip mwnyew kw Io hapo kila kit kimefany mwnyew Niko na ma video meng San na ma pich Kam unatak ushaur nitqkushaur usipate garam kubw Kam mim na ki msing kun vit ving vya kuepuk garam mfano kulaza tofali kunyanyua. Kutumia mbao za chin izo izo juu
 
Hii apo
IMG_20221229_135824_1.jpg
 
Aisee ni kubw ni Kam ni Kam 300 msq na point hiv Engineer alituwekea nguz nying San na zengn hazin hat sbb ya kuwekw nguz ni 28 au 29 Kam sikosei na foundation ilikul Zaid ya 26M na hapo Engineer alifany makos meng ambay yalifany garam ikaw kubw Zaid ya hapo .
Msingi tulichumb Mita Mita mbili kw Io izo nguz 28 au 29 zilianz chin kabis Hadi kwny ground level ikaw 28M na kutok ground floor Hadi slab yake ni 39M na kutok juu ya slab adi floor ya juu mpak saiv japo hatujafunik bado tunapumua
Aisee Gorof ni gharam San Mzee Kam Gorof yako kubw unayotak kujeng ni Bora ujenge ya kawaida Sisi tulifeli San mar ya kwnz tuliongea na MTU mmoj yey Nd akaw anafny kil kit Nd kafany garam imekuw kubw so nakushaur tafut Kil fund mwnyew na kubalian nae mwnyew .
Mfano saiv nilivyofik kwny First floor ilibid nifany hivo nikatafut fundi mbao akawek tofali then nikatafut fundi chuma akafuma nikatafut fundi mabao akawek marine body nikatafut wamwag zege nikawalip mwnyew kw Io hapo kila kit kimefany mwnyew Niko na ma video meng San na ma pich Kam unatak ushaur nitqkushaur usipate garam kubw Kam mim na ki msing kun vit ving vya kuepuk garam mfano kulaza tofali kunyanyua. Kutumia mbao za chin izo izo juu
Asante kwa tahadhari mkuu. Nakuja PM kwa ushauri zaidi
 
Aisee ni kubw ni Kam ni Kam 300 msq na point hiv Engineer alituwekea nguz nying San na zengn hazin hat sbb ya kuwekw nguz ni 28 au 29 Kam sikosei na foundation ilikul Zaid ya 26M na hapo Engineer alifany makos meng ambay yalifany garam ikaw kubw Zaid ya hapo .
Msingi tulichumb Mita Mita mbili kw Io izo nguz 28 au 29 zilianz chin kabis Hadi kwny ground level ikaw 28M na kutok ground floor Hadi slab yake ni 39M na kutok juu ya slab adi floor ya juu mpak saiv japo hatujafunik bado tunapumua
Aisee Gorof ni gharam San Mzee Kam Gorof yako kubw unayotak kujeng ni Bora ujenge ya kawaida Sisi tulifeli San mar ya kwnz tuliongea na MTU mmoj yey Nd akaw anafny kil kit Nd kafany garam imekuw kubw so nakushaur tafut Kil fund mwnyew na kubalian nae mwnyew .
Mfano saiv nilivyofik kwny First floor ilibid nifany hivo nikatafut fundi mbao akawek tofali then nikatafut fundi chuma akafuma nikatafut fundi mabao akawek marine body nikatafut wamwag zege nikawalip mwnyew kw Io hapo kila kit kimefany mwnyew Niko na ma video meng San na ma pich Kam unatak ushaur nitqkushaur usipate garam kubw Kam mim na ki msing kun vit ving vya kuepuk garam mfano kulaza tofali kunyanyua. Kutumia mbao za chin izo izo juu
Umeleta ufafanuzi mzuri sana wa kuzingatiwa
 
Yh design mbovu na wengi hawajui layout katika kupangilia nyumba na sehemu zake muhimu kama vyumba, kitchen, dining, living room n.k
Hicho ndo nilikuwa naongelea.
Kuna nyumba ukiziona ni kubwa ila amejaza mavumba tu ndani ceiling fupi, master haina closet, vyoo vidogo.

Mtu ana ghorofa ila hakuna AC hata 1
Hana Laundry room na Washer n Dryer, Steamer
Hana water treatment tank
 
Hicho ndo nilikuwa naongelea.
Kuna nyumba ukiziona ni kubwa ila amejaza mavumba tu ndani ceiling fupi, master haina closet, vyoo vidogo.

Mtu ana ghorofa ila hakuna AC hata 1
Hana Laundry room na Washer n Dryer, Steamer
Hana water treatment tank
Plus nyumba inakosa master suite bedroom, reading room, chumba cha watoto wa kike hajaweka bidet, nyumba haina mfumo wa maji moto, nje na uani mwangaza hafifu

Wabongo tunaona kuwa na mavyumba mengi ya kulala ndio ufahari kumbe ushamba tu
 
Safi sana,naona hapa tofali zimesimama..me nafkilia kujenga kagorofa floor moja kwa ajili ya kuweka wapangaji.
Hapo ndondo means umetumia mm16?
Nataka niende slow tu,nianze na msingi then nitulie kwanza.
Hizo nguzo zote ni mm16 na beam zake ni 16 pia Ila kwny slab tumia mm10 au mm12.
Nakushaur usinunue nondo kwny maduk ujenz haya yakawaid. Bora ujichange uend kiwandan au kwny maduk makubw wanauz bei ya jumla .mfano hizo mm 16 maduk ya kawaida nakumbuk nilitajiw bei ya 46 mpk 48 . Maduk makubw ni 42 au 41. Au ukiw na mfuk mzur Zaid utauziw kw tani amaby ni nafuu Zaid
 
Back
Top Bottom