Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Kipindi nasoma A level kuna Aunty yangu alinikopa hela tena ilikuwa ada ya shule ili afanye kama mtaji wa kuanzisha biashara yake ya kuuza mashuka ya mitumba akasema atairudisha kabla hatujaanza kufanya mitihani ya mwisho wa muhula.
Tukazungushana wee kumbe hakuna cha biashara wala nini. Sijui ile pesa alipeleka wapi hajawahi kunirudishia. Ila alipiga simu nyumbani kuwaambia nimepoteza ada na ninaogopa kusema.
Ikabidi na mimi nikae kimya hadi ili ilipwe kwa sababu it was my word against hers na yeye alikuwa mtu mzima sana.
Hadi leo siwezi kopesha ndugu hela bora nimpe tu nijue nitoa sadaka
Tukazungushana wee kumbe hakuna cha biashara wala nini. Sijui ile pesa alipeleka wapi hajawahi kunirudishia. Ila alipiga simu nyumbani kuwaambia nimepoteza ada na ninaogopa kusema.
Ikabidi na mimi nikae kimya hadi ili ilipwe kwa sababu it was my word against hers na yeye alikuwa mtu mzima sana.
Hadi leo siwezi kopesha ndugu hela bora nimpe tu nijue nitoa sadaka