Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
😅😅😅😅Kumpa demu mtaji wa biashara alafu ukamgegeda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Kumpa demu mtaji wa biashara alafu ukamgegeda
hukupata tuu demu sahihiMahusiano kazini. Yalichafua mno image yangu na kunipitisha katika kipindi kigumu mno kazini. Nikajifunza kujieweka mbali na mambo ya mapenzi kazini!
binadamu bwana wanakera sana kwenye hili sualaKukopesha mtu hela nikiamini atanirudisha kupo sivyo nikaishia kulizwa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kutahiriwa hii kitu siwez kujisamehe juz kat nimekuta sms wife anamwambia ex wake hawez kulisahau go.vi lake hata iweje
Ilikuaje?Kumpa demu mtaji wa biashara alafu ukamgegeda
ilikuwaje tena besty? sii nilidhulumiwa na mbususu sikuiona tenaIlikuaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lkn si umlikula?ilikuwaje tena besty? sii nilidhulumiwa na mbususu sikuiona tena
lengo halikuwa kumkula suala zima ni kwamba ilikuwa tusaidiane kimaisha sio kulana tuu. sasa yeye anaomba mtaji tunakubaliana kuwa faida tunaenda 60/40 yeye anasepa na ahapokei simu tena sii uhuni huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] lkn si umlikula?
lengo halikuwa kumkula suala zima ni kwamba ilikuwa tusaidiane kimaisha sio kulana tuu. sasa yeye anaomba mtaji tunakubaliana kuwa faida tunaenda 60/40 yeye anasepa na ahapokei simu tena sii uhuni huo
nani kafilisika wewe, mie hela ipo sema sasa sijapata mwanamke sahii tujenge nae future. basi tuu nikipata mwanamke ana akili na tako lipo aisee naoa fasta tujenge life.Maskini pole. Kumbe ndio mana umefilisika rafiki yangu.
Ili kosa siwezi kuja kujisamehe!!!Kuacha chuo semester ya mwisho bila sababu ya msingi.