TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Kwani ni kosa?Mfano kama mtu kosa alilofanya ni kumla mke wa mtu unategemea atsema hapa?
Au unamaanisha kubaka Mke wa Mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni kosa?Mfano kama mtu kosa alilofanya ni kumla mke wa mtu unategemea atsema hapa?
acha tuUkalamba mchanga au tairi lilikukosakosa?
Kwa jamii nliyokulia Mimi ni kosa kubwa kudinya mke wa mtuKwani ni kosa?
Ukajidai wewe ni konda mzoefu wa daladala!Una bahati.acha tu
leo hii mshamba angekuwa kibogoyo
kujikuta mhuni mhuni mjanja mjanja sio vizuri
Dogo acha kupendapenda hahaaKumpenda mtu mpaka anajijua kuwa anapendwa
😂😂😂 Aiseekutahiriwa hii kitu siwez kujisamehe juz kat nimekuta sms wife anamwambia ex wake hawez kulisahau go.vi lake hata iweje
Acha kabisa kuna mmoja uyo anatumia udhaifu wangu dah acha tu nateska kakaDogo acha kupendapenda hahaa
Ilitokea kazini kwetu mwaka fulani , mpaka leo tunajilaumu sana kumbe alikua anaumwa kweli aisee!Kudharau mtu akieleza kuhusu Afya yake, kuna sehem nlikua nafanya kazi jamaa mmoja akawa analalamika anaumwa mara kwa mara watu wakaona ni mvivu anatafuta sababu tu ya kutokufanya kazi.
Mara ya mwisho alisema anajiskia vibaya alivyoondoka huku nyuma watu wakawa wanamtuhumu anajisingizia maradhi jioni yake tukaskia amefariki.
Hii nayo inatutesa wengi!Kumpenda mtu mpaka anajijua kuwa anapendwa
Ahhahaha kwangu naona imezidi ase kuna kipind inafika unashindwa jizuia kabisaHii nayo inatutesa wengi!
Moja ya udhaifu mkubwa unaotukabili ni kupenda engo ya mapenzi..
Ningekuwa na uwezo ningeacha kupenda.
Kuna usemi unasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.Ahhahaha kwangu naona imezidi ase kuna kipind inafika unashindwa jizuia kabisa
AhahhahKuna usemi unasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.
Ukiwa nae sehemu moja unamwangaliaje?Kipindi nasoma A level kuna Aunty yangu alinikopa hela tena ilikuwa ada ya shule ili afanye kama mtaji wa kuanzisha biashara yake ya kuuza mashuka ya mitumba akasema atairudisha kabla hatujaanza kufanya mitihani ya mwisho wa muhula.
Tukazungushana wee kumbe hakuna cha biashara wala nini. Sijui ile pesa alipeleka wapi hajawahi kunirudishia. Ila alipiga simu nyumbani kuwaambia nimepoteza ada na ninaogopa kusema.
Ikabidi na mimi nikae kimya hadi ili ilipwe kwa sababu it was my word against hers na yeye alikuwa mtu mzima sana.
Hadi leo siwezi kopesha ndugu hela bora nimpe tu nijue nitoa sadaka
Pole sana, ungekuwa na mtoto mkubwa sasa hivi ambaye kila ukimwangalia unasema Mungu asante kwa mtoto huyuKutoa mimba.
Na kwa kukiri kwake wazi atapata afueni moyoni mwake. TumpongezeUmekua mkweli.Hili chukizo limejaa kwenye vitabu vya siri vya watu wengi.
Kabisa na aahidi kutorudia.Na kwa kukiri kwake wazi atapata afueni moyoni mwake. Tumpongeze