Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
😂😂😂😂 kosa ni kosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili unikomoe mpk niombe maji? Siji by zuchuNiletee pm!
Hata salamu tu! Please!Ili unikomoe mpk niombe maji? Siji by zuchu
Tuma na ya kutolea kwanzaHata salamu tu! Please!
Nipe namba 🥰Tuma na ya kutolea kwanza
Mashangazi wengi wanoko na fitina nyingi, hata umtendee jema lipi atakukomoa tu so unaweza kuta ni hila zakeHuyo Mshangazi alikuwa na roho ngumu sana, hapo huenda kuna kitu kilimsukuma kufanya hivyo, sio bure kufanya hivyo.
Nawaza laabda aliwahi kugombana na Kaka yake(baba yako) na akaamua kulipa kisasi kwa namna hiyo. Kitendo cha yeye kutoa taarifa kuwa umekula Ada kinadhihirisha hii scenario kwa kiasi chake.
Duh.. Kuna mwanangu alinacha chuo wiki mbili tu kabla ya UE ya mwisho ya mwaka wa 3.Kuacha chuo semester ya mwisho bila sababu ya msingi.
Mkuu acha kabisa, mwenyewe niliacha week moja kabla ya mtihani wa mwisho, kujuta lazima hasa maisha yakikuchapa.Duh.. Kuna mwanangu alinacha chuo wiki mbili tu kabla ya UE ya mwisho ya mwaka wa 3.
Nilisikitika sana.
Sijui kama ameshawahi kujutia au la. Hawezi kuniambia maana sikumuunga mkono hata kidogo.
Hapo ndio tunaona hila zake wazi wazi, iweje mtu mzima ukope hela ya Ada ya Mwanafunzi halafu baadae uanze kusema uongo mbele ya wazazi wa mtoto.Mashangazi wengi wanoko na fitina nyingi, hata umtendee jema lipi atakukomoa tu so unaweza kuta ni hila zake
Usirudie kumpiga kabali mwanaume wakati misuli inakaza🤣🤣🤣🤣 atanyunyuzia ndani iwe majanga tenaKutoa mimba.
DahKudharau mtu akieleza kuhusu Afya yake, kuna sehem nlikua nafanya kazi jamaa mmoja akawa analalamika anaumwa mara kwa mara watu wakaona ni mvivu anatafuta sababu tu ya kutokufanya kazi.
Mara ya mwisho alisema anajiskia vibaya alivyoondoka huku nyuma watu wakawa wanamtuhumu anajisingizia maradhi jioni yake tukaskia amefariki.
Shangazi ni muuaji kakosa sumu tuHapo ndio tunaona hila zake wazi wazi, iweje mtu mzima ukope hela ya Ada ya Mwanafunzi halafu baadae uanze kusema uongo mbele ya wazazi wa mtoto.
Bora angesema amepata hasara tofauti na alivyotarajia, yeye kauchuna halafu anaenda kusaga kunguni