Ni kosa gani umewahi kufanya na hauwezi kulirudia tena kwenye Maisha yako?

Ilitokea kazini kwetu mwaka fulani , mpaka leo tunajilaumu sana kumbe alikua anaumwa kweli aisee!
 
Hii nayo inatutesa wengi!
Moja ya udhaifu mkubwa unaotukabili ni kupenda engo ya mapenzi..
Ningekuwa na uwezo ningeacha kupenda.
Ahhahaha kwangu naona imezidi ase kuna kipind inafika unashindwa jizuia kabisa
 
Ukiwa nae sehemu moja unamwangaliaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…