Ni kosa gani umewahi kufanya na hauwezi kulirudia tena kwenye Maisha yako?

Maskini nimeumia, apumzike kwa amani 🙏
 
Huyo Mshangazi alikuwa na roho ngumu sana, hapo huenda kuna kitu kilimsukuma kufanya hivyo, sio bure kufanya hivyo.

Nawaza laabda aliwahi kugombana na Kaka yake(baba yako) na akaamua kulipa kisasi kwa namna hiyo. Kitendo cha yeye kutoa taarifa kuwa umekula Ada kinadhihirisha hii scenario kwa kiasi chake.
 
Kushuka kwenye daladala kabla haijasimama🤣
Iliwahi kunitokea hii huwa nashuka mara nyingi tu ila ni mwendo ukiwa kawaida siku nilipitishwa kituo kdgo nikasema siwezi shuka kituo kinachofuata acha nidrop weeeeeh! Ilikuwa htar kw ule umbali niliokimbia ili kwenda sawa na ile spid ya gari nilijkuta niko kituo kile nilchgoma kwenda kushuka na sikuw nakimbia kawaida yani ni km wale jamaa wa marathon m100 wanapomalizia ule mstari wa mwisho
 
Hii imemtokea dgo niko na mtaani akiwambia wenzie mguu unamuuma wanamuita mvivu alianza sister kabisa wa kuzaliwa nae kumuona dgo mvivu alikuwa anaishi nae dgo ikabidi ahamie ofsini raia wakazidi kumuandama kuwa mvivu kuna watu wameumbwa na mioyo yao wanakosa uwezo tu kuna bimkubwa alimpa 50k aende hsptl mpka muda hu tunavyozungumza dgo amekatwa mguu kumbe ilikuwa kansa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…