Ni kosa kufanya biashara ya usafirishaji pesa?

Ni kosa kufanya biashara ya usafirishaji pesa?

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
Baada Gharama mpya za kutuma na kutoa pesa zikianza kutumika, mtu akaanzisha biashara ya kusafirisha pesa kwa boda, let say kuipeleka 1m toka kinyerezi mpaka Kariakoo ni 10k. Hivi linaweza kuwa kosa kisheria? 😀
20210709_145644.jpg
 
Tunapoelekea watarudisha kodi ya kichwa sasa maana sio kwa unyonyaji huu. Yani wananchi tunanyonywa mpaka makamasi halafu rasilimali za nchi wanafaidi mapapa wachache.

Kwa utajiri tulionao Tanzania ilitakiwa tuishi kama Brunei. Hakuna kulipa kodi, huduma za afya bure, elimu bure mpaka chuo kikuu, ukioa unapewa na mtaji na serikali.
 
Tunapoelekea watarudisha kodi ya kichwa sasa maana sio kwa unyonyaji huu. Yani wananchi tunanyonywa mpaka makamasi halafu rasilimali za nchi wanafaidi mapapa wachache.

Kwa utajiri tulionao Tanzania ilitakiwa tuishi kama Brunei. Hakuna kulipa kodi, huduma za afya bure, elimu bure mpaka chuo kikuu, ukioa unapewa na mtaji na serikali.
Nini kifanyike mkuu
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo gharama ya kufanya muamala wa sh M1 imejaa uongo na uzandiki wa kuigombanisha serikali na wananchi.
Walioitunga na kuisambaza ni wale wanaoumia na mabadiliko yaliyofanywa na Mama ie MATAGA.
Binafsi Nafanya miamala mingi kila Siku na hakuna mabadiliko hayo yanayosambazwa
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za wapi hizi ukikaa bila kuhoji kitu eti ni uzalendo ni udumavu wa akili kwa nchi kama Tanzania yenye rasilimali za kutosha wangeondoa kodi kandamizi na za kijinga kwa Wananchi eti kodi ya line ya simu mara kodi ya kujenga bara bara wakati Dunia inapambana kuweka globe tax 15% hawa wanakuja na mambo ya hovyo kabisa kila kukicha..watu wanataka kulipa kodi ila iwe favourable sio hizi kodi za hovyo hovyo harafu zinaishia kwenye mishahara ya Wabunge huku CAG akija na report ya wizi kila kukicha...
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
kama tunakatwa kodi kwenye kila kitu na maendeleo hakuna je hizo za kwenye madini tu peke yake zinafanya nini...? maana kwa tz yetu hakuna wilaya zenye maendeleo duni kama wilaya kunapochimbwa madini
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiri muhimu,,, ila ni biashara hatar Sana sababu ata Kama utaweka usiri vipi kikulacho ki nguoni mwako
 
wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha umama
 
Back
Top Bottom