Kulipenda taifa kwa kutuibia?wacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mkuu... Tuendelee kulipa kodiHiyo gharama ya kufanya muamala wa sh M1 imejaa uongo na uzandiki wa kuigombanisha serikali na wananchi.
Walioitunga na kuisambaza ni wale wanaoumia na mabadiliko yaliyofanywa na Mama ie MATAGA.
Binafsi Nafanya miamala mingi kila Siku na hakuna mabadiliko hayo yanayosambazwa
Si mnalipwa kukubaliana na hii dhulma..! Sisi sio wajingawacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Mkuu sio Kodi ni wizi kabisa,hahaaaVipi mkuu... Tuendelee kulipa kodi
Chukua uber na chenji inabakia unywee bia kuliko kuwapa hawa madhalimu waporajiBaada Gharama mpya za kutuma na kutoa pesa zikianza kutumika, mtu akaanzisha biashara ya kusafirisha pesa kwa boda, let say kuipeleka 1m toka kinyerezi mpaka Kariakoo ni 10k. Hivi linaweza kuwa kosa kisheria? πView attachment 1846755
Tungewaacha wakoloni tungeishi kama Brunei.Tunapoelekea watarudisha kodi ya kichwa sasa maana sio kwa unyonyaji huu. Yani wananchi tunanyonywa mpaka makamasi halafu rasilimali za nchi wanafaidi mapapa wachache.
Kwa utajiri tulionao Tanzania ilitakiwa tuishi kama Brunei. Hakuna kulipa kodi, huduma za afya bure, elimu bure mpaka chuo kikuu, ukioa unapewa na mtaji na serikali.
We utakuwa ni mwiguluwacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela Moja kodi Mara mbili aisee huu ni uonevu kumbuka anaetuma ndo anatuma na ya kutoleaHahahaha akili imerudi sasa...!
Ila ni haki kweli nitume nikatwe, apokee akatwe πͺπͺ
Umesema?Hiyo gharama ya kufanya muamala wa sh M1 imejaa uongo na uzandiki wa kuigombanisha serikali na wananchi.
Walioitunga na kuisambaza ni wale wanaoumia na mabadiliko yaliyofanywa na Mama ie MATAGA.
Binafsi Nafanya miamala mingi kila Siku na hakuna mabadiliko hayo yanayosambazwa
Bado tu unakazia usemi wako huu?Hiyo gharama ya kufanya muamala wa sh M1 imejaa uongo na uzandiki wa kuigombanisha serikali na wananchi.
Walioitunga na kuisambaza ni wale wanaoumia na mabadiliko yaliyofanywa na Mama ie MATAGA.
Binafsi Nafanya miamala mingi kila Siku na hakuna mabadiliko hayo yanayosambazwa
Mwenye Upumbavu ni Wewewacheni upumbavu kuchangia kodi kwa Taifa lako sio dhambi bali ni fahari, fedha unayo katwa ndio inayo enda kusaidia kuweka miundo mbinu ya elimu mizuri, afya n.k ambayo watoto wetu ndugu zetu watanufaika nayo, yeyote anaye jaribu kukwepa au kuhamasisha kukwepa huyo sio mtanzania atakuwa ana nchi nyingine.
sisi wazalendo tunayo ipenda nchi yetu ya Tanzania tutaendelea kujisikia fahari kukatwa kodi inayo enda kwenye maendeleo yetu, tunachezea sh.ngapi kwenye mambo yasiyo ya msingi kwetu?! sembuse unakatwa mara moja tu kwa maendeleo yako mwenyewe na ndugu zako?! tuache unafiki na uzandiki!!
tulipende Taifa letu.
Tunajisikia fahari kuchangia maendeleo watoto wetu, ndugu zetu.
kama unaweza kuchangia Harusi na mambo mengine kwa nn uumie kuchangia maendeleo ya elimu ya ndugu zako wa kitanzania?!
kweli ww utakuwa mtanzania halisi?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app