The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Huna hoja wewe msukuleSadly , hujawahi kuwa na Akili. Baki hivo hivo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja wewe msukuleSadly , hujawahi kuwa na Akili. Baki hivo hivo.
Bidhaa zipi ambazo hazikamatiki wewe mbumbumbu?Chawa wenye uwezo mdogo wa kuchambua mambo kama wewe mnamwangusha sana Rais Samia. Nimekuuliza unipe logic ya kuwa na bidhaa madukani ambazo bei haikamatiki, wewe unadandia kuniambia Samia anajenga veta kila wilaya. Bei za bidhaa na veta wapi na wapi ?!?
Mtaala upi???Sasa wewe kima,huo mtaala Samia hajabadili? Unaropoka tuu kumbe hakuna unachojua na unajiita msomi 😁😁
Wewe hapo ,unabwabwaja bila facts Wala evidence,Mimi nimeweka facts na referenceRead yourself , kati ya mimi na wewe nani anaweza kuwa MSUKULE? Wewe ni Fukara wa mali na akili na you will die as a poor man
Umeweka facts au machapisho ya kisiasa. Narudia tena hujawahi kuwa na akili. Hujui kutofautisha kati ya Facts na Machapisho ya kisiasa. Hakuna facts hata moja uliweka bali umeweka machapisho ya kisiasa yasiyokuwa na tija.Wewe hapo ,unabwabwaja bila facts Wala evidence,Mimi nimeweka facts na reference
Weka namba wewe msukule wa Mwendazake,unaogopa nini?
Moja ya sekta ambayo ilijifia awamu ya yule mtu asiyejua Uchumi ilikuwa ni sekta ya nyumba na Ardhi(real estates).
Posta majengo yalikuwa magogu,miradi ya Majumba ilisimama na mingine Kufa kama Kawe na Dege nk.
Ila mama amefungua upya na Sasa ni booming business 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C4ktYpktkEU/?igsh=MXMxd3lzZjQyZnRlcQ==
My Take: Samia sio level za wale mbumbumbu wenu.
Basi tulia umsahidie dada yako kwa kutimiza mahitaji ya mme wake...tuachie sisi tunaojua kwamba huyu raisi tunapitishwa tu Jangwani mana kashindwa kila kitu.Haya tuoneshe Taifa limekwamia wapi? Una uhakika hakuna kinachoendelea?
Ni lini Nchi hii haijawahi kukopa? Nikuoneshe mikopo ya serikali ya Magufuli?
Pili Ni lini Tanzania hii wizi uliwahi kupungua achilia mbali kuisha? Unakumbuka aliyefukuza CAG alikuwa nani? Kuna mwaka CAG aliwahi sema wizi wa awamu ya 5 umepungua?
Mimi naishi Kwa shemeji yangu ndio maana miradi ya serikali imepunguza kipato chako 🤣🤣🤣🤣🤣
Uchawa umekupofusha macho huwezi kuona wala kuelewa chochote.Bidhaa zipi ambazo hazikamatiki wewe mbumbumbu?
Uko sahihi. Ni mnufaika wa system, na ni chawa, kwa hiyo hawezi kuona tatizo lolote. Uchawa ni ugonjwa wa kufisha.umkhontoweSizwe, yeye haoni Hilo Kwa sababu Yuko kwenye system bei siyo tatizo.
Jibu hoja wewe fala,bidhaa zipi hizo hazikamatiki?Uchawa umekupofusha macho huwezi kuona wala kuelewa chochote.
Jibu hoja badala ya kujifariji na ujinga 😁😁Basi tulia umsahidie dada yako kwa kutimiza mahitaji ya mme wake...tuachie sisi tunaojua kwamba huyu raisi tunapitishwa tu Jangwani mana kashindwa kila kitu.
Huna hoja wewe punguani,tafuta mafala wenzakoNiondolee huu ujinga chawa we
Wewe punguani facts au machapisho ya Kisiasa uliyiweka ni yapi? Onyesha basi.Umeweka facts au machapisho ya kisiasa. Narudia tena hujawahi kuwa na akili. Hujui kutofautisha kati ya Facts na Machapisho ya kisiasa. Hakuna facts hata moja uliweka bali umeweka machapisho ya kisiasa yasiyokuwa na tija.
Élimu Akili Elimu Akili Elimu Akil
😂🤭🤭🤭 kaa tukanaaaaaaWewe punguani facts au machapisho ya Kisiasa uliyiweka ni yapi? Onyesha basi.
Mwisho hizo facts zinatoka mdomoni kwako au zinachapishwa? 😁😁😁
Fala wewe huna akili Wala hoja
Mshamba weye ,kuna mtu aliikumbuka Dodoma baada ya Baba wa Haifa hili kutoka madarakani ???Baada ya kujengwa na Magufuli ujenzi ukamaluzika au?
Kwani yeye ni WA kwanza kujenga Dodoma?
Magufuli anachomzidi Samia ni uuaji na ukatili tu!!No more comments, these are fact. Halafu kuna mtu utasikia umetumwa kumchafua. Ningependa hoja zijikite kunarrate kwa nini hoja zako sio sahihi kama ni suala la kukataa hoja
www.jamiiforums.com