Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.

Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.

1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024

2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.

3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.

4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.

5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.

6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi

7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.

CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda. Chawa wote, kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku.

Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani.
Nimepata hasara kubwa sana kwa pesa yetu kushuka thamani dhidi ya dollar, kwa kuwa nalipia bidhaa nyingi nje ya nchi kwa dola
 
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.

Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.

1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024

2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.

3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.

4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.

5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.

6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi

7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.

CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda. Chawa wote, kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku.

Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani.
unamlinganisha mtu muungwana SAMIA na jitu KATILI LILILOUA WATU KAMA JPM
 
kinacho humiza zaida nibkuona Kila siku serikali imekopa pesa kadhaaa lakini bdo huduma za afya ni mbovu.. hakuna mrado mpya uliovumbuliwa stori nizile zile hakuna jipya lilofanyika ...Ujenzi wa miradi Mingi umesimama mfano Barbara kutoka Kahama kwenda ushetu, Makazi mwamnange mpaka Urambo hiyo Barbara kipindi Cha Jpm mchakato wa Ujenzi ulikuwa umeisha anza Ujenzi umeisha kàhama eneo linaloitwa Dodoma viwandani.
2. Ujenzi wa Barabara kutoka Bukoba Mjini mpaka Maruku umesimama.
3. Ujenzi wa Barabara kutoka Mbalamaziwa Malangali mpaka MBEYA kupitia IYOANZA mchakato umekufa kabisaa.
4. Angalia Barabara kutoka Mafinga kwenda USOKAMI Kwa karibu wa Binge yaani Barabara ni mbovu sana...
5. Barabara kutoka Kutoka ILEMELA wilayani kwenda KAYENZE imesimama pale Shule ya SECONDARI BUJINGWA yaani maeneo ya LUKOBE, ILALILA, SHIBULA MWAKARUNDE MPAKA KAYENZE NI VUMBI na gharama za usafiri zipo juu sana sana.
Lakini wakina DR. WA PESA MZEE WA TRAT NA TRAB wapo kwenye kampeini ya mitano tena
 
kinacho humiza zaida nibkuona Kila siku serikali imekopa pesa kadhaaa lakini bdo huduma za afya ni mbovu.. hakuna mrado mpya uliovumbuliwa stori nizile zile hakuna jipya lilofanyika ...Ujenzi wa miradi Mingi umesimama mfano Barbara kutoka Kahama kwenda ushetu, Makazi mwamnange mpaka Urambo hiyo Barbara kipindi Cha Jpm mchakato wa Ujenzi ulikuwa umeisha anza Ujenzi umeisha kàhama eneo linaloitwa Dodoma viwandani.
2. Ujenzi wa Barabara kutoka Bukoba Mjini mpaka Maruku umesimama.
3. Ujenzi wa Barabara kutoka Mbalamaziwa Malangali mpaka MBEYA kupitia IYOANZA mchakato umekufa kabisaa.
4. Angalia Barabara kutoka Mafinga kwenda USOKAMI Kwa karibu wa Binge yaani Barabara ni mbovu sana...
5. Barabara kutoka Kutoka ILEMELA wilayani kwenda KAYENZE imesimama pale Shule ya SECONDARI BUJINGWA yaani maeneo ya LUKOBE, ILALILA, SHIBULA MWAKARUNDE MPAKA KAYENZE NI VUMBI na gharama za usafiri zipo juu sana sana.
Lakini wakina DR. WA PESA MZEE WA TRAT NA TRAB wapo kwenye kampeini ya mitano
 
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.

Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.

1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024

2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.

3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.

4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.

5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.

6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi

7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.

CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda. Chawa wote, kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku.

Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani.
Sijawahi kuona rais anayeabudu kukopa kama kipaumbele cha kwanza kutatua chochote nchini. Wanamsifu kwa makusanyo ya TRA mbona sasa anakopa kama sio kwamba wanamsifu kwa mapato makubwa wanayoyafisidi.
Ametupa kabisa sera ya kujitegemea analundikia nchi madeni kama mjinga asiyejua wajukuu watalipa madeni badala ya kutumia kipato cha taifa kwa maendeleo. Benki zozote zinafanya biashara ukiingia kichwakichwa utawekwa kwenye mtego tu na wajanja. Mikopo anajisifu eti riba ndogo ndio maana anakopa ovyo tu.
 
Magufuli anachomzidi Samia ni uuaji na ukatili tu!!
Sifa ya rais muuaji na mkatili ni kuua watu wengi kwa vikosi vyake vyovyote. Hebu orodhesha watu unawajua wameuliwa na magufuli tuone kama ana sifa ya uuaji. Orodhesha majina na jinsi na wapi wameuliwa na sio blah blah.
 
Gazeti moja nilisoma lilikuwa limeandikwa
"UKOSEFU WA AJIRA UNAVYOPELEKEA UCHAWA"
kama nitakuwa nimenukuu vibaya mtanirekebisha
 
Magufuli anachomzidi Samia ni uuaji na ukatili tu!!
MAGU alikuwa na mikakati inayoeleweka ni kweli alikuwa binadamu mwenye mapungufu Fulani,kumtagi kuwa alikuwa muuaji ni uonevu alichokosea ni kubana wizi na kutokuwa na mzaha mbele ya wezi na shida kubwa ya nchi hizi ni nyie mlioaminiwa kuanzia kujitumikia na matumbo yenu,acha uongo wa kumsingizia marehemu,kutawala nchi siyo mchezo mfalme daudi aliua,mkapa wakati wake generali aliuawa huko Tanga,wakati wa mkwere mwangosi alitolewa utumbo huko ilinga ni ngumu kudhibiti Kila tukio, all in all MAGU alikuwa kiongozi nchi hii haijawahi pata na huenda asitokee tena, ni Musa aliyezama bahari ya Shamu.
 
MAGU alikuwa na mikakati inayoeleweka ni kweli alikuwa binadamu mwenye mapungufu Fulani
Ishia hapo kwenye "mapungufu" . Na hicho ndicho kilimfanya kuwa Rais wa HOVYO kuwahi kutokea Tanzania toka tupate uhuru.

Na kwa "mapungufu" hayo yalimfanya Mungu amtoe duniani na kumtupa jehanam. Mfuate huko nawe ukaungue na moto
 
Ishia hapo kwenye "mapungufu" . Na hicho ndicho kilimfanya kuwa Rais wa HOVYO kuwahi kutokea Tanzania toka tupate uhuru.

Na kwa "mapungufu" hayo yalimfanya Mungu amtoe duniani na kumtupa jehanam. Mfuate huko nawe ukaungue na moto
stunex, mtu mwema huonwa na wengi na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu
 
stunex, mtu mwema huonwa na wengi na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu
Even if you are a minority of one, the truth is the truth." by Mahatma Gandhi

Hao unaosema wengi uliwahesabu wapi? Halafu ni Mungu gani unamuongelea hapo? Sidhani kama ni Mungu Ibrahim, Mungu wa Izaka na Mungu wa Yakobo tunayemuamini Wakristu
 
Mtu wa
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.

Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.

1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024

2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.

3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.

4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.

5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.

6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi

7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote. Kwa mfano Kilo ya Sukari alikuta 1600, kwa sasa Kilo ya Sukari ni 3500 hadi 4500 na bado upatikanaji wake ni hafifu. Aidha, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.

CCM mpo huru kumsimamisha Mama yenu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda na Mama hana sera wala vision , anachofanya yeye ni Obvious hata ukimuweka layperson can do what she does . kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku.

Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani.
Hebu nishawishi Kwa kutumia data ya kwamba mapungufu uliyoyatoa ni kweli na yamesababishwa na Samia Kwa kutoa takwimu ikibidi na chanzo chako cha taarifa. Maana Kwa hizi zama za uhuru wa kuandika Kuna uwongo na kuchafuana sana
 
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.

Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.

1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024

2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.

3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.

4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.

5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.

6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi

7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote. Kwa mfano Kilo ya Sukari alikuta 1600, kwa sasa Kilo ya Sukari ni 3500 hadi 4500 na bado upatikanaji wake ni hafifu. Aidha, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.

CCM mpo huru kumsimamisha Mama yenu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda na Mama hana sera wala vision , anachofanya yeye ni Obvious hata ukimuweka layperson can do what she does . kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku.

Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani.
Hatuna raisi ndugu yangu na nchi iko kwenye wakati mgumu kabisa.
 
Mtu wa

Hebu nishawishi Kwa kutumia data ya kwamba mapungufu uliyoyatoa ni kweli na yamesababishwa na Samia Kwa kutoa takwimu ikibidi na chanzo chako cha taarifa. Maana Kwa hizi zama za uhuru wa kuandika Kuna uwongo na kuchafuana sana
Go and learn. Find your own truth
 
Even if you are a minority of one, the truth is the truth." by Mahatma Gandhi

Hao unaosema wengi uliwahesabu wapi? Halafu ni Mungu gani unamuongelea hapo? Sidhani kama ni Mungu Ibrahim, Mungu wa Izaka na Mungu wa Yakobo tunayemuamini Wakristu
nakuacha, Mimi Niko huku kijijini ninaona Kwa uhalisia.
 
Linganisha kwanza bodaboda na Costa ya abiria. Ukiweza kwa kutumia mantiki basi weka uzi wako watu wachangie.
 
Back
Top Bottom