Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Bidhaa zipi ambazo hazikamatiki wewe mbumbumbu?
 
Wewe hapo ,unabwabwaja bila facts Wala evidence,Mimi nimeweka facts na reference
Umeweka facts au machapisho ya kisiasa. Narudia tena hujawahi kuwa na akili. Hujui kutofautisha kati ya Facts na Machapisho ya kisiasa. Hakuna facts hata moja uliweka bali umeweka machapisho ya kisiasa yasiyokuwa na tija.
ร‰limu Akili Elimu Akili Elimu Akil
 
Niondolee huu ujinga chawa we
 
Basi tulia umsahidie dada yako kwa kutimiza mahitaji ya mme wake...tuachie sisi tunaojua kwamba huyu raisi tunapitishwa tu Jangwani mana kashindwa kila kitu.
 
Samia hapangi bei ya petrol ndugu mwananchi na pia hapangi umadhubuti wa dollar vs TZS. Unajadili mambo makubwa yaliyokuzidi kimo kimasikhara masikhara tuu.
 
Wewe punguani facts au machapisho ya Kisiasa uliyiweka ni yapi? Onyesha basi.

Mwisho hizo facts zinatoka mdomoni kwako au zinachapishwa? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Fala wewe huna akili Wala hoja
 
Wewe punguani facts au machapisho ya Kisiasa uliyiweka ni yapi? Onyesha basi.

Mwisho hizo facts zinatoka mdomoni kwako au zinachapishwa? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Fala wewe huna akili Wala hoja
๐Ÿ˜‚๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ kaa tukanaaaaaa
 
Baada ya kujengwa na Magufuli ujenzi ukamaluzika au?

Kwani yeye ni WA kwanza kujenga Dodoma?
Mshamba weye ,kuna mtu aliikumbuka Dodoma baada ya Baba wa Haifa hili kutoka madarakani ???
Magufuli kajenga barabara zote ile ya kondoa na barabara zote za mtaani,
Wakati wa Magufuli hakukuwa na felini mahospitalini Dodoma baada ya kuondoka eti leo unaweza enda makole na nyenginezo ukaganda mpaka ioni.
Tatu ujenzi wa mji wa kiserikali na usambazwaji wa umeme kwa takribani asilimia 70% sehemu ya Dodoma ni ina nishati ya umeme .
Pia aliifanya Dodoma kuwa na movements ya bidhaa na zikashuka thamani lakini leo hii mavitu yapo juu kutokana watu hawana mzunguko wa hela kutokana na watu hawana tema.
Chawa wewe hivi unadhani ni kazi rahisi sana kutushawishi sisi wana Dodoma ????
Naomba ujitathimini๐Ÿ˜ฃ
 
No more comments, these are fact. Halafu kuna mtu utasikia umetumwa kumchafua. Ningependa hoja zijikite kunarrate kwa nini hoja zako sio sahihi kama ni suala la kukataa hoja
Magufuli anachomzidi Samia ni uuaji na ukatili tu!!
 
Hii ni kwa mujibu wa sheria kifungu cha ngapi? Vizazi visivyojua hesabu ni kazi sana (congruence & similarity) ni mhimu mno. Soma na upige kura yako

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ