Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.



Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
Siasa nzuri siyo kulazimisha (udikteta), ni makubaliano kwa asilimia kubwa.
Ni lazima kuwe na makubaliano ya kuheshimiana katika kuongoza watanzania kwa ujumla wake (Bara na visiwani).
Siasa jumuishi zisizotumia sana nguvu za vyombo vya dola (wasiojulikana) ni muhimu kwa nyakati hizi, kwa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.
 
Weka namba tuone
Afya
Vituo vya Afya 354

Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450

Mapato 1.5 T Kwa mwezi

Samia 2.2 T Kwa mwezi


Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.

Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.

Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
 
Afya
Vituo vya Afya 354

Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450

Mapato 1.5 T Kwa mwezi

Samia 2.2 T Kwa mwezi


Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.

Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.

Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
Miradi mikubwa imesimama licha ya mapato.makubwa ya TRA,,Mikopo mingi lakini tumesimama ,Inammana fedha zinaibiwa sana na hazisaidii watanzania.So magufuri alikuwa Bora sana
 
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.
kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
Andiko Bora kabisa Kwa kipindi Cha Robo ya kwanza ya mwaka
 
Afya
Vituo vya Afya 354

Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450

Mapato 1.5 T Kwa mwezi

Samia 2.2 T Kwa mwezi


Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.

Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.

Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
Weka na mapato ya Mikopo

Kama mapato yameongezeka ni vipi hata wakandarasi hawalipwi!? Why kutembeza bakuli Kila siku!?

Mnampamba tu lakini ni mzigo usiobebeka
 
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.

Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.

1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024

2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.

3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.

4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.

5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.

7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.

CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda.

Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
Ngoja wakusikie chawa wake wakiongozwa na yule mchuna ngozi
 
Afya
Vituo vya Afya 354

Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450

Mapato 1.5 T Kwa mwezi

Samia 2.2 T Kwa mwezi


Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.

Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.

Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
Nipe idadi ya Health Facilities kwa Tanzania kama kweli upo well informed, and then I will disputes all your cooked data
 
Siasa nzuri siyo kulazimisha (udikteta), ni makubaliano kwa asilimia kubwa.
Ni lazima kuwe na makubaliano ya kuheshimiana katika kuongoza watanzania kwa ujumla wake (Bara na visiwani).
Siasa jumuishi zisizotumia sana nguvu za vyombo vya dola (wasiojulikana) ni muhimu kwa nyakati hizi, kwa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.
Makubaliano ya Samia yametufikisha wapi; we have a little further to go kuwa kama Zimbqbwe, endelea kuamini katika maridhiano
 
Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what itri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Nipe idadi ya Health Facilities kwa Tanzania kama kweli upo well informed, and then I will disputes all your cooked data
Mbona unahama mada? Niongezee nyundo? 👇👇
20231110_153848.jpg
20231112_190454.jpg
20240108_091436.jpg

Mkikaa kwenyvijiwe vyenu huko mnalishana pumba na kuja kutukana Rais Kwa stori za kudimuliana ujinga.
 
Back
Top Bottom